Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Mkuu wa Magerez Ukonga apandishwa mahakamani kwa kesi ya rushwa na ya kufoji ma docuemt.

Aliandika addendum ( nyongeza) ya listi ya majina ya msamaha wa wafungwa. Ikasoma inatoka kwa Katibu Mkuu Mambo ya Ndani.

Wachina watatu walitoa milioni 45 ili wanyopolewe kwenye kifungo Ukonga. Baada ya kuona hawatoki lawyet wao akafuatilia. Afande akataka waongeze milioni 18. Wakagoma. Kikasanuka!

Vyombo vya Ulinzi wakafuatilia wakakuta hakuna barua ya msamaha kutoka kwa Katibu Mkuu Mambo ya Ndani kusamehe wachina watatu. Mkuu wa Megereza pamoja na wenzake wawili wako Lupango.

My first ever compliment to the goverment on fighting public service corruption at high places.


Ahaa Hapa itakuwa kuna MTU alikula hela peke yake .

Maana hizi mambo za kutoa watu gerezani zipo Sana.
 
NARUDIA KUSEMA
sheria zinamlinda mhalifu siku zote,kumtia mtu hatiani pasipo na shaka ni kitu kigumu sanaaa yani wakati meingine wengi hufungwa kwaajili ya kukosa kiweka wakili wa kuipasua kesi au wakili atakayekuwa anafuatilia na kuona procedure zote zinafuatwa ipasavyo.

Kiufupi adhabu iliyotolewa kulingana na sheria yetu ni sawa
Ila
Ila
Ila

Wakikaga rufaaa wanatoka mapemaaa

Changamoto nayoiona
Kwa sasa kila hakimu au jaji anaiogopa kesi kutokana na pressure yake
Ila
Mapungufu ya mwenendo na taratibu nyingine ni mengi


Anyway ndivyo maisha ya sheria yalivyo
 
Hii adhabu kwa upande wangu inafaa kabisa maana kitendo walichokifanya ingekua wewe huyo aliyefanyiwa ni mwanao sidhani kama ungekubaliana na huo ujinga. Hili liwe fundisho kwa vijana wa hovyo wa aina hii. Kundi la watu wa nne si walitaka kumuua huyo Binti kwa walichofanya imekula bahati tu amepona.
 
Ground moja ambayo nina uhakika wakili wa utetezi hakuisema na anaenda kuitumia ni kuwa utaratibu wa kumshtaki askari mahakama ya kijeshi ili akihukumiwa huko anapelekwa mahakama ya kiraia.

Kama utaratibu huo haukufuatwa nahisi hawa jamaa wameandaliwa kurejea uraiani
Kwa hiyo unataka kusema hadi sasa Jeshi halina taarifa za kushitakiwa kwa askari wake!? Wwe hadi unaona askari kaletwa Mahakama ya kiraia ujuwe kua Jeshi tayari lishamalizana nae!!
 
Hii adhabu kwa upande wangu inafaa kabisa maana kitendo walichokifanya ingekua wewe huyo aliyefanyiwa ni mwanao sidhani kama ungekubaliana na huo ujinga. Hili liwe fundisho kwa vijana wa hovyo wa aina hii. Kundi la watu wa nne si walitaka kumuua huyo Binti kwa walichofanya imekula bahati tu amepona.
Achana na fundi yuleeeee.🤣🤣

Japo mambo badooo wakikata rufaaa chochote kinaweza tokea
 
Mahakimu hawana Uhuru mpana kama Majaji. So Hakimu alijua tu akihukumu tofauti na wanasiasa wanavyotaka, watamla kichwa.

Hawa wakenda court of Appeal, wanaachiwa.
 
Swali dogo tu kwako Mkuu, umewah fungiwa walau lock up masaa 6. Hakuna kitu kibaya kama kukosa uhuru, pia hawa watKUwa wanawaza tumefungwa maisha (forever) disturbance na mtikisiko wa akili wake sio wa kitoto
Hakuna adhabu mbaya kama ya kunyongwa hadi kufaaaa.
Ile hata iwejeee huwezi kutulia gerezaniiii
 
Mahakimu hawana Uhuru mpana kama Majaji. So Hakimu alijua tu akihukumu tofauti na wanasiasa wanavyotaka, watamla kichwa.

Hawa wakenda court of Appeal, wanaachiwa.
Hawatoki hao wabakaji na walawiti hicho kitendo walichokifanya ni cha kishenzi na cha kipuuzi kabisa. Adhabu za namna hii ziwe nyingi ili kuwalinda mabinti zetu.
 
Rudia upya..usimalize maneno😁😁
Mkuu mshana, kosa walilofanya adhabu yake ni kifungo cha maisha. Hivyo ikiwa sheria imeainisha kosa fulani hukumu yake ni hii hakimu/judge hawezi kubadili.

N.b. kifungo cha maisha haina kutoka labda wapate msamaha.
 
UKishinda rufaa ni unatoka hupunguziwi adhabu maana adhabu ya kosa lao ni kifungo cha maisha, halafu parole hqiwahusu wabakaji
Siyo kweli hata kidogo, mfungwa yoyote yule wa makosa yoyote Yale anaweza akapewa msamaha wa Rais na akatoka gerezani. Rejea kusoma Ibara ya 45 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
 
Hisia zangu zinaniambia kuwa hapa tumepigwa kamba na cheti kimoja cha maana. Kimsingi kesi imekwenda haraka haraka huku ikiwa na magepu eneo la mashitaka, meaning utaratibu wa kisheria haukufuatwa ipasavyo.

Hawa vijana hawakufanya hilo tukio kwa kutaka wenyewe kuna ambaye aliwatuma,why amefichwa sana na haujaona yeye akipelekwa kwenye vyombo vya sheria kwa ushiriki wake kwenye hili tukio?
Hii kesi inatumika kisiasa kufuta taharuki iliyopo sasa juu ya vyombo vya sheria especially jeshi la polisi kuonekana kama linakwenda kinyume na wajibu na majukumu yake.
Hili tukio limekaa kimkakati sana. Watu waliopo kwenye meza za maamuzi wameamua kufanya kazi na shetani na kumtetea maslahi yake.

Hii haijakaa sawa na ni lazima kama raia tukazie kweli kweli hawa wahuni wasituzoee vibaya. Kodi ni zetu na sisi ndio wenye maamuzi ya mwisho inapokuja swala la maamuzi ys kitaifa.
 

Kuna uwezakano hao mkubwa katika kukata rufaa hao jamaa wakaachiwa au kupunguziwa adhabu .


Nilichokiona hapo ni swala la kuifurahisha jamii na sio weredi.

Mfano huyo Afande aliyewatuma wameshindwa vipi kumkamata na kumuunganisha katika hiyo kesi.


Then kumlipa muathirika mil 4 ni hela ndogo Sana.
Mkuu wa Magerez Ukonga apandishwa mahakamani kwa kesi ya rushwa na ya kufoji ma docuemt.

Aliandika addendum ( nyongeza) ya listi ya majina ya msamaha wa wafungwa. Ikasoma inatoka kwa Katibu Mkuu Mambo ya Ndani.

Wachina watatu walitoa milioni 45 ili wanyopolewe kwenye kifungo Ukonga. Baada ya kuona hawatoki lawyet wao akafuatilia. Afande akataka waongeze milioni 18. Wakagoma. Kikasanuka!

Vyombo vya Ulinzi wakafuatilia wakakuta hakuna barua ya msamaha kutoka kwa Katibu Mkuu Mambo ya Ndani kusamehe wachina watatu. Mkuu wa Megereza pamoja na wenzake wawili wako Lupango.

My first ever compliment to the goverment on fighting public service corruption at high places.
Hivi ukitumwa ukaibe aliyekutuma ndio mwizi au wewe uliyeenda kuiba ndio mwizi? Tafsiri ya kisheria please
Inategemea na mazingjra na umahiri wa wanasheria na sometimes maslahi ya kisiasa kwa bongo
 
Kwa hiyo unataka kusema hadi sasa Jeshi halina taarifa za kushitakiwa kwa askari wake!? Wwe hadi unaona askari kaletwa Mahakama ya kiraia ujuwe kua Jeshi tayari lishamalizana nae!!
Nakumbuka waziri wa ulinzi alisema kosa la ubakaji linaenda moja kwa moja polisi.
Kwa hiyo unataka kusema hadi sasa Jeshi halina taarifa za kushitakiwa kwa askari wake!? Wwe hadi unaona askari kaletwa Mahakama ya kiraia ujuwe kua Jeshi tayari lishamalizana nae!!
 
Hisia zangu zinaniambia kuwa hapa tumepigwa kamba na cheti kimoja cha maana. Kimsingi kesi imekwenda haraka haraka huku ikiwa na magepu eneo la mashitaka, meaning utaratibu wa kisheria haukufuatwa ipasavyo.

Hawa vijana hawakufanya hilo tukio kwa kutaka wenyewe kuna ambaye aliwatuma,why amefichwa sana na haujaona yeye akipelekwa kwenye vyombo vya sheria kwa ushiriki wake kwenye hili tukio?
Hii kesi inatumika kisiasa kufuta taharuki iliyopo sasa juu ya vyombo vya sheria especially jeshi la polisi kuonekana kama linakwenda kinyume na wajibu na majukumu yake.
Hili tukio limekaa kimkakati sana. Watu waliopo kwenye meza za maamuzi wameamua kufanya kazi na shetani na kumtetea maslahi yake.

Hii haijakaa sawa na ni lazima kama raia tukazie kweli kweli hawa wahuni wasituzoee vibaya. Kodi ni zetu na sisi ndio wenye maamuzi ya mwisho inapokuja swala la maamuzi ys kitaifa.
Hii kesi ilipelekwa haraka sababu kuna mashirika makubwa ya haki za binadamu na mawakili walikuwa wanaifuatilia kwa ukaribu. Pia ilivuta hisia za watu wengi. Wakikata rufaa hawatashinda hawa.
 
Back
Top Bottom