Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mawele

Senior Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
119
Reaction score
320
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi


 
Wapinzani wana vituko sana ndio maana CCM inawashinda kwa sababu watanzania wanaona vyama vya upinzanu ni vikundi vya sanaa za uchekeshaji. Huyu msanii anasema hakuna mradi ulioanzishwa na Rais Samia na hapo hapo wasanii wenzake wanakuja kusema miradi inayoanzishwa haiwasaidii wananchi. Niseme tu wapinzani hawana tumaini tena ni zaidi ya kufanya fitina na ulaghai
 
Na ni kipindi hiki tozo zimekua nyingi na kubwa kupita awamu zote bila kusahau hiyo mikopo ya kausha damu alafu unashangaa pamoja na kukopa kiasi hicho bado wanafanya matumizi ya hovyo mfano mzuri wiki iliyopita walifanya sherehe kigoma kule za kusaini Mkataba wa ujenzi wa soko mkataba ambao wangesaini ofisini tuu lakini wakaamua kuchoma pesa kipumbavu tuu
 
1. Miradi iliyoachwa na Magufuli imesimama?
2. CHADEMA hakuna cha kueleza watanzania tofauti na kuwadiss CCM?
hiyo mikopo ya t39+ bado na mapato ya ndani ndio imetumika kukamilishia miradi tu, kwa mikopo hiyo na mapato ya kodi tulitegemea alichokifanya jpm huyu mzanzibar akifanye mala nne zaidi.

kwa miradi aliyofanya mzanzibar bado hajafikia hata kwa awamu ya Kikwete sema huyu ni rais anaetembea na trend kiufupi huyu mzanzibar anaturudisha nyuma
 
Exactly. It's time someone should tell the truth..... The rest of us are afraid to be kidnapped if and when we open our mouth ....
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Yaani upinzani ukiwa na viongozi vilaza wa dizaini ya kigaila kushika dola ni ngumu sana yaani haoni anachofanya mama wakati mbowe anasifia juhudi za mama yeye ni nani mpaka ashangae? huyu hafai kuwa kiongozi wanapoteza muda tu
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

laana ya magufuli inawatafuna sasa hivi mnaanza kukumbuka miradi yake siyo?
 
Kwani miradi hii huanzishwa kijolela tu? Watanzania wa kesho kama sio wa leo ni changamoto sana, tuendelee tu kuwa na kundi dogo la kuwafanyia maamuzi majority kwa ajili ya kulinusuru Taifa hili Teule la Mungu.
 
Tukipima Kwa national level ni mradi mkubwa brother..
Mfano: pesa iluyotumika kujenga Vituo vya afya na Hospital i nchi nzima, na Pesa iliyotumika kujenga Shule mpya pamoja na madarasa, mabweni na matundu ya vyoo nchi nzima.
Na hapo ni afya na elimu tu.... Pesa iliyotumika ni nyingi kana kwamba Mh Rais angekuwa mbinafsi izo pesa zilikua zinafanya mradi Mmoja Kwa eneo Moja mkubwa sana.
k

kama ni hivo tu basi kumbe mtu yeyote anaepumua tu anaweza kuwa Rais
 
Back
Top Bottom