Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
yaani upinzani ukiwa na viongozi vilaza wa dizaini ya kigaila kushika dola ni ngumu sana yaani haoni anachofanya mama wakati mbowe anasifia juhudi za mama yeye ni nani mpaka ashangae? huyu hafai kuwa kiongozi wanapoteza muda tu
Acha porojo, taja alichofanya kwa kuweka ushahidi, Mfano ameanzisha kitu hiki kiko eneo fulani kimeanza mwaka na mwezi huu ili tukague, acha porojo leta fact
 
Hivi gharama ya haya mabangi ysliyotapakaa nchi nzima barababrani ya. "Mama anaupiga mwingi" nani hulipia gharama zake?

Nguvu inayotumika kumbrand mama ni kubwa mno. Wana hofu juu ya nini wakati kizuri chajiuza chenyewe?
 
Zitaje kwa majina na eneo zilipo ili tukague kama hazikuwepo kipindi kilichopita, vinginevyo unadanganya
"Kwa mwaka huu tu upande wa Elimu 2024.

Halmashauri zote nchini, ziko 184 zilipatiwa kati ya sh. milioni 570 na milioni 600 za ujenzi wa shule mpya za sekondari.
Sasa Brenda kila Halmashauri kajionee mwenyewe kwani nikizitaja hapa ntajaza uzi."
 
Hivi gharama ya haya mabangi ysliyotapakaa nchi nzima barababrani ya. "Mama anaupiga mwingi" nani hulipia gharama zake?

Nguvu inayotumika kumbrand mama ni kubwa mno. Wana hofu juu ya nini wakati kizuri chajiuza chenyewe?
Leta ushahidi, usiseme tu hivyo kwa maneno, hata mimi naweza kusema hivyo leta hapa ushahidi, hiyo bado ni porojo. Kigaila kataja mabango kwa kuwa yanaonekana wewe hizo fedha za shule zimegaiwa wapi? Lini?

Mradi wa rushwa wa kugawa bajaji na bodaboda unaonekana, mradi wa machawa unaonekana, mbona mradi wa hizo shule hatuuoni?
 
H
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Huyu nyumba aisee ni shida ,hivi Dar yote iko kwa ukarabati wa barabara ndio yeye alianzisha ? Hivi alitaka aache kukamilisha miradi aliyoanzisha mtangulizi wake ?Nyumbu hamjui jinsi nchi inavyoendeshwa .
 
H

Huyu nyumba aisee ni shida ,hivi Dar yote iko kwa ukarabati wa barabara ndio yeye alianzisha ? Hivi alitaka aache kukamilisha miradi aliyoanzisha mtangulizi wake ?Nyumbu hamjui jinsi nchi inavyoendeshwa .
Baada ya kumaliza kuita watu nyumbu. Tunasubiri ulete fact Sasa, kama huna fact umesema uongo kwakuwa hata wewe mwenyewe huijui ila unaleta porojo.
 
Huyu jamaa awe na adabu basi, ina maana hata pikipiki za kijani SSH-25 hazioni mtaani? Au wenyewe siyo mradi?
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Huyu kigaila Lofa sana...Mnufaika wa Covid-19...
Wanakula hela za maskini kupitia bunge..very stupid indeed...
Ndio maana CCM wanaona bora wawaibie kura tu maana ujinga ni mwingi sana...
Hivi Miradi aliyoacha magufuli anafikiri mchezo?
Huyu mama kajitahidi sana ...katika hili wanamuonea bure...
Personally nampongeza sana tena sana particularly kwa kumaliza Bwawa la Umeme na maendeleo ya SGR...
 
Leta ushahidi, usiseme tu hivyo kwa maneno, hata mimi naweza kusema hivyo leta hapa ushahidi, hiyo bado ni porojo. Kigaila kataja mabango kwa kuwa yanaonekana wewe hizo fedha za shule zimegaiwa wapi? Lini?

Mradi wa rushwa wa kugawa bajaji na bodaboda unaonekana, mradi wa machawa unaonekana, mbona mradi wa hizo shule hatuuoni?
You've quoted me wrong.

Read my comment first before you jump into conclusion. Wapi nimeongelea habari za shule?
 
Tukipima Kwa national level ni mradi mkubwa brother..
Mfano: pesa iluyotumika kujenga Vituo vya afya na Hospital i nchi nzima, na Pesa iliyotumika kujenga Shule mpya pamoja na madarasa, mabweni na matundu ya vyoo nchi nzima.
Na hapo ni afya na elimu tu.... Pesa iliyotumika ni nyingi kana kwamba Mh Rais angekuwa mbinafsi izo pesa zilikua zinafanya mradi Mmoja Kwa eneo Moja mkubwa sana.
Leta ushahidi, usiseme tu hivyo kwa maneno, hata mimi naweza kusema hivyo leta hapa ushahidi, hiyo bado ni porojo. Kigaila kataja mabango kwa kuwa yanaonekana wewe hizo fedha za shule zimegaiwa wapi? Lini?

Mradi wa rushwa wa kugawa bajaji na bodaboda unaonekana, mradi wa machawa unaonekana, mbona mradi wa hizo shule hatuuoni?
 
Wapinzani wana vituko sana ndio maana CCM inawashinda kwa sababu watanzania wanaona vyama vya upinzanu ni vikundi vya sanaa za uchekeshaji. Huyu msanii anasema hakuna mradi ulioanzishwa na Rais Samia na hapo hapo wasanii wenzake wanakuja kusema miradi inayoanzishwa haiwasaidii wananchi. Niseme tu wapinzani hawana tumaini tena ni zaidi ya kufanya fitina na ulaghai
Pinga hoja Kwa kuweka facts za miradi ambayo samia ameanzisha...tuwekee hiyo miradi mipya ya samia
 
Kumjibu roporopo ni kujiabisha, huyo kigaila anatakiwa kujibiwa na watoto wadogo maana alichosema ni utoto. angesema miradi ilyoanzishwa haina faida kwa wanachi kama wenzake wanavyofanya ningemjibu maana hapo anakuwa kakosa uelewa tu lakini kwa hiki alichosema hata Mnyika, Lissu na Mbowe watakuwa wanashangaa
 
Wapinzani wana vituko sana ndio maana CCM inawashinda kwa sababu watanzania wanaona vyama vya upinzanu ni vikundi vya sanaa za uchekeshaji. Huyu msanii anasema hakuna mradi ulioanzishwa na Rais Samia na hapo hapo wasanii wenzake wanakuja kusema miradi inayoanzishwa haiwasaidii wananchi. Niseme tu wapinzani hawana tumaini tena ni zaidi ya kufanya fitina na ulaghai
Kaka wewe nikikuita MJINGA unaonaje??

Kama vyama vya siasa ni wasanii na wachekeshaji, vipi ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa tuiteje?? CHOO YA STENDI "???

Na msajiri naye tumwiteje?? KINGWENDU au BAMBO??

Punguza UCHAWA na ujinga ulopitiliza mkuu, TEUZI hazitafutwi namna hiyo.
Hivi wewe una tofauti Gani na mtu ambaye hakwenda shule kabisa??

You have generated very stupid argument.😃🤔🤔🤔

Kutoka kwa mtu wa CPA???🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom