Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Hawa machadema ndio waanzilishi na waimbaji wa mwanzo wà slogan ya mama anaupiga mwingi. Baada ya Mbowe kuswekwa lupango na mama kwa kesi ya ugaidi wakageuka kama kawaida yao sasa wanakana kwamba ndio waanzilishi wa mama anaupiga mwingi.
 
Na ni kipindi hiki tozo zimekua nyingi na kubwa kupita awamu zote bila kusahau hiyo mikopo ya kausha damu alafu unashangaa pamoja na kukopa kiasi hicho bado wanafanya matumizi ya hovyo mfano mzuri wiki iliyopita walifanya sherehe kigoma kule za kusaini Mkataba wa ujenzi wa soko mkataba ambao wangesaini ofisini tuu lakini wakaamua kuchoma pesa kipumbavu tuu
Awamu hii pesa ya wananchi inatumika hovyo sana!!
 
Jikite kwenye mada husika, usirukikie vitu. mada iliyopo mezani inayojadiliwa ni kauli ya kigaila kusema hakuna mradi wowote ulianzishwa na Rais Samia na Comment yangu ilijikita kwenye mada husika kama ulitaka kuzungumzia habari za ofisi ya msajili ungeanzishia uzi wako na ningekuja kuujadili kivingine. Tujikite kwenye mada vinginevyo tutaonekana vituko.

tuweke ushabiki pembeni tujadili uhalisia ulivyo na nitakuuliza swali: Je ni kweli hakuna mradi hata mmoja ulianzishwa na Rais Samia?

Mradi wa BBT
Mradi wa DMDP II
Mradi wa Royal Tour
Mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Mradi wa DP World
ni mifano ya miradi iliyoanzishwa na Samia

Au unadhani miradi ni lazima iwe 'tangible'?
Kifupi huwezi kunipangia namna bya kufanya argument, kama wewe ambavyo ulikuja na argument ya kijinga kuwaita CHADEMA wasanii.
 
Jikite kwenye mada husika, usirukikie vitu. mada iliyopo mezani inayojadiliwa ni kauli ya kigaila kusema hakuna mradi wowote ulianzishwa na Rais Samia na Comment yangu ilijikita kwenye mada husika kama ulitaka kuzungumzia habari za ofisi ya msajili ungeanzishia uzi wako na ningekuja kuujadili kivingine. Tujikite kwenye mada vinginevyo tutaonekana vituko.

tuweke ushabiki pembeni tujadili uhalisia ulivyo na nitakuuliza swali: Je ni kweli hakuna mradi hata mmoja ulianzishwa na Rais Samia?

Mradi wa BBT
Mradi wa DMDP II
Mradi wa Royal Tour
Mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Mradi wa DP World
ni mifano ya miradi iliyoanzishwa na Samia

Au unadhani miradi ni lazima iwe 'tangible'?
Malizia mradi mmoja wa KUUZA RASILIMALI ZA NCHI, ikiwemo Benchmark yetu Bandari
 
Yupo sahihi
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Si kweli kuna miradi mipya imeanza chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na pia amejitahidi kukamilisha miradi muhimu ya mwanzo. Huwezi kupinga kila kitu, ukweli kuna mazuri yaliyotendeka chini yake.
 
Huyu Mwalimu wa Hesabu kasema ukweli mtupu...Maza kaishia kuongeza mgao wa Fedha Zanzibar, Hela ya kuteka watu na kununua magari ya kifahari ya viongozi. Nothing tangible
 
Kigaila ndo think tank ya CHADEMA kwa sasa. Kwenye CHADEMA huyo ni miongoni mwa wenye akili akifuatiwa na Mdude Chadema. Kwa akili za genge la CHADEMA walitaka miradi iliyokuwa imeanza isimame? Si majuzi walionekana kwenye SGR wakielekea Dodoma?
 
Yaani upinzani ukiwa na viongozi vilaza wa dizaini ya kigaila kushika dola ni ngumu sana yaani haoni anachofanya mama wakati mbowe anasifia juhudi za mama yeye ni nani mpaka ashangae? huyu hafai kuwa kiongozi wanapoteza muda tu
Pamoja na huo ujinga alio nao bado CCM tuna imani na Kigaila.
 
Nakusikitikia maana unakokotwa kama mkokoteni, kesho kigaila akikana kauli yake basi aibu itakushukia wewe ila shukuru una ID fake maana familia yako ingekudharau pia. Natamani kuona upinzani imara na wenye hoja nzito lakini si huu wa kigaila na wenzake. Miradi inatekelezwa na inakamilika, wananchi wanapongeza na mpaka hizo pongezi zinawakera, lakini anatokea mtu mmoja anasema hakuna mradi na kundi la watu linashangilia ni kweli bila kujua anayesema hivyo anawaona wajinga kiasi gani
Kaka kuandika bila kuweka paragraphs no KELELE, jifunze kuweka paragraphs!!
 
Wajibu kwa hoja na siyo kutulisha MATANGO!
Huyu Muunguja hana maajabu zaidi ya kuishi kama malkia na watoto wake! Anaponda hela ya mlipa kodi na familia yake balaa!
Bado la kuuza maliasili na rasilimali!
Bure kabisa kabisa
 
Back
Top Bottom