Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Pre GE2025 Kigaila: Rais Samia hajaanzisha mradi wowote tangu awe Rais isipokuwa mradi wa mabango ya Mama anaupiga Mwingi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila kweli ni kama hamna hata mmoja.
Hivi huyu Kigaila ndiye anayetaka kuwa KATIBU MKUU WA CHADEMA? Niliwahi kusoma tetesi kama hizo hapa JF.

Kama ni kweli, CHADEMA imekufa. Huyu ni punguani kabisa. CHADEMA msikiue chama chenu kwa kuwapa wendawazimu kuongoza chama. Du, Pengine Magu alifanya kweli, alinuia kuiua CHADEMA. Nafikiri imeshakufa.
 
Unaposema ni mzee aachane na siasa. Jitazame kwanza wewe na wenzako ndani ya chama chenu. Then ndo urudi hapa kuandika.
Wakati miradi ikotekelezwa wao wanaingia barabarani.
Hivi dunia ya leo ni ya kuongea siasa tupu za mdomoni??
Kila kata nchi hii kuna mradi mpya uliopelekwa na Samia.
 
Zitaje kwa majina na eneo zilipo ili tukague kama hazikuwepo kipindi kilichopita, vinginevyo unadanganya
Usijitoe ufahamu Brother... ( Unajua kusoma na kuandika)
Tatizo mnakuja na hoja za kishabiki na sio kuwasaidia watanzania.

Mh Rais anaipambambania sana hii nchi anajitahidi sana. Naye ni binadam sio Mungu.
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Ukichunguza ni kweli
 
Nchi hii taaluma kuhusu mikakati na mipango ya maendeleo ya taifa zilishakufa kitambo.

Sasa hivi “Rais kuanzisha miradi” ndiyo propaganda inayoeleweka na wajinga wengi sana.

Wengi hawajali kujua undani wa hiyo miradi ya maendeleo-katika mpangilio mzima wa mpango wa maendeleo ya taifa, gharama zake, na vyanzo vyake vya fedha. Wanaburudika tu kusikia viongozi wakitangaza miradi na mabilioni ya shilingi yaliyotengwa. Utafikiri ni kama shughuli ya kuwasha na kukimbiza mwenge vile.

Ndio maana ni vigumu Watanzania kuwa na uelewa kama ule uliofanya wananchi wa Kenya kuhoji na kuukataa muswada wa fedha (finance bill) uliowasilishwa pamoja na bajeti ya taifa. Walielewa athari zake kwenye uchumi wa taifa na wao binafsi. Ikabidi mpango wa maendeleo upunguzwe.

Inayoitwa “miradi ya Magufuli” peke yake imeitwisha nchi mzigo mkubwa sana wa mahitaji ya fedha za maendeleo. Na bado sana kukamilika. Inagharamiwa na mikopo mikubwa tu. Halafu watu wanatarajia Samia naye aanzishe “miradi yake” huku akitekeleza ya mtangulizi wake! Sijui kama hao watu wanaelewa financial implication yake.

Kwamba kuna ufisadi mkubwa ni dhahiri. Ukiondoa awamu ya kwanza, hadi leo hii hakuna wakati Tanzania haijawahi kuwa na ufisadi mkubwa.

Na mnapowapa watawala uhuru wa kutumia hazina ya taifa bila kuhojiwa na kuanzisha miradi wanavyojisikia ndio mnawaongezea fursa na ujasiri wa ufisadi. Mara Rais anavunja tume ya mipango, mara anakataa feasibility studies kwenye miradi mikubwa, mara anazuia ukaguzi kwenye baadhi ya miradi, mara bunge na mahakama wanatahadharishwa kutoenda kinyume na serikali! Huku wananchi wame-relax kabisa.

Tunahitajika kuwa na fikra kubwa katika mambo ya msingi ya taifa. Kuendekeza propaganda nyepesi nyepesi kunazidi kuiangamiza nchi.
Unajua nini, Nyerere alisema maadui wakubwa wa maendeleo ni ujinga, maradhi na umasikini. Lakini nadhani kuna adui mmoja tu wa maendeleo - ujinga, ambao ndio husababisha maradhi na umasikini. Watanzania wengi ni wajinga sana, na kwa sababu hiyo hatuwezi kuendelea. Mjinga anakamuliwa kodi kila mahali, anabanwa ni kodi ni kodi tu. Halafu akinunuliwa pipi kutoka sehemu ya hiyo kodi anatoa shukurani hadi kujigalagaza chini, hasahau hata kuuliza zaidi ya kuninunulia pipi fedha ulizonikamua umezipeleka wapi?
 
Kaanzisha bana asisingiziwe mama wa watu

1. mkwe waziri
2. Mwanae anawakilisha nchi bila cheo serikalini
3. Chawa chawa chawa kila kona
 
Waliisema miradi ya JPM haina tija
Walitamani Mama Samia aachane nayo
Hawaamini kama miradi hiyo mikubwa imeisha.
Heko mama Samia,hakuna kitu kikubwa utajivunia na kustaafu kwa Amani kama kumalizia miradi Ile mikubwa,ya kimkakati na yenye thamani ya matrilioni tena kwa kipindi ambacho miradi bado ilikua Michanga kabisa.
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

😆😆😆😆😆
 
Watu wana matusi ya rejareja aisee
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

 
We unaetumia akili, umechanganua lipi kama tu Kwa low profile ya Mh Rais, kafanya mambo mengi yanayoonekana.

Alafu Leo, mnasema mnaona mabango tu kweli ?
Angekuwa na busara basi angesema Kwa kuonesha miradi inayotekelezwa under local gvt kama nilivosema.
Hata angeanza na hiyo mnayoona nyie ni miradi mikubwa Bado mngesema tu..
pesa zinatumika hovyo bila kujificha
 
Comrade jibu hoja!
Mwanaccm imara anapenda upinzani imara,mwanaccm legelege anauchukia upinzani wenye hoja!!!

Kigaila angesema na pkpk plus bajaji na miradi ya ujenzi wa madarasa na shule pia no miradi yake iliyokamilishwa!!

😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Kigaila alienda kwao Ugogoni anapanda SGR anadhani mradi unaendelezwa na nani? 😄😄😄
 
Sina shaka ikiwa hii ndo namna wapinzani wanavyoweza kujenga hoja basi ccm njia nyeupe...sisi watanzania tunaopenda kuona mabadiriko ya kweli yasiyo ya kishabiki tutapata wapi kiongozi anayejitambua na asiye dictator sana mana udikteta Kuna mazingira ya kiuongozi ni mhimu..anayependa maendeleo ya vitu na watu yaende sambamba..yupo wapi, kajificha wapi ..mchana mwema
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Kama Mama angeanzisha miradi mingine mipya ya kwake; lingetokea tatizo moja kubwa kwamba miradi aliyoikuta asingeweza kuimalizia

Mpaka hapa wapinzani wangempigia kelele kuwa ameihujumu miradi aliyoikuta na asingeweza kupata sababu ya maana ya kujitetea; wangemmaliza kisiasa
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

🤣🤣🤣🤣
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

🤣🤣🤣🤣
 
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.

Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala

Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi

Hana maarifa ya kuendeeza miradi aliyoacha jpm. Badaka ya kuhakikisha hela inatoka ndani ya nchi kama alivyofanya Magufuki anakimbikia ushauri wa wapigaji na fisadi kukopa WB na ifm. Sijui hatambui vyombo hivyo ni vya kibiashara tu kwa nchi za kibeberu? Wanaojua watakwambia vyombo hivyo havimuachi mikono mitupu kigogo wa nchi anayesababisha nchi kukopa kwao kwa miradi ya isiyokua na tija kwa maendekeo ya nchi inayohusika.
 
Back
Top Bottom