Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Hivi huyu Kigaila ndiye anayetaka kuwa KATIBU MKUU WA CHADEMA? Niliwahi kusoma tetesi kama hizo hapa JF.Ila kweli ni kama hamna hata mmoja.
Kama ni kweli, CHADEMA imekufa. Huyu ni punguani kabisa. CHADEMA msikiue chama chenu kwa kuwapa wendawazimu kuongoza chama. Du, Pengine Magu alifanya kweli, alinuia kuiua CHADEMA. Nafikiri imeshakufa.