Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Hakuna nchi za kikristo dunia kwa vile ukristo sio mfumo wa maisha .

kule Dubai hamuendi mbona?πŸ˜…πŸ˜… Punguza point dhaifu kabisa hata hapo libya pamechafukq hapakaliki na walisababisha vita ndo hao wanachukua mateka.


Mbona mimi natamani kuisha iran sema hapa bongo ni kwetu .

uislamu unajitegemea na unaishi popote hata pasipokuwa msikiti ,lazima dini ieneee izo nchi hazina wakristo ni wapagan wengi nchi ya kikristo ni vatican hao marekani hawawatambui na shobo zenu wala israel.
 
Elimu ya sheikh tofaoti na wewe ulie maliza masomo yako ulaya elimu ya sheikh inahusu dini ya uisilamu elimu hiyo hawezi tumika ilivio hapa sababu kuna utawala unaotumia elimu nyingine hivio elimu ya sheikh inabaki kukaa kapuni
 

Kwa point hizo nimegundua huna idea of how hawa jamaa wana operate.
As i said unahizaje kitu usicho kifahamu?
β€œKumcha Mungu ni chanzo cha maarifa”
β€œMshike sana elimu usimuache aende zake”
Mistari hii yote iko kwenye biblia. Elimu ni pana sana

Elimu ya dini imo mule ndani, inaitwa theology.
Hizi zingine zinakuja kama addition but pia ni essintial
Huwez run taasis kwa elimu ya dini only, practicaly kwa dunia ya sasa huwez

Why hawa watu wanasoma kada mbali mbali? Wana mashule,hospitals,wana program mbali mbali za kijamii. Hawajajilita kwenye dini only
 
Sheikh ni neno la kiarabu ambalo kiswahili chake ni mzee, kulihusisha na dini ni utekwaji tu uliolenga kumuona mzee kwa umri wake kama ana historia ya hiyo dini.
 
Kaulize waislamu wote kama wanaitambua BAKWATA?

Usiwe kolo na maneno ya kupumbaa uislamu hauendeshwi na matamko kama vikundi vya ngoma.
Kumbe unaelewa, the same thing sio watu wote wanaitambua TEC lakini mwisho wa siku lazima kuwe na mwavuli wa uwakilishi na ndio maana hata public holidays za kiislamu official Tanzania tunafata za BAKWATA.
 
Kumbe unaelewa, the same thing sio watu wote wanaitambua TEC lakini mwisho wa siku lazima kuwe na mwavuli wa uwakilishi na ndio maana hata public holidays za kiislamu

Siongelei wakristo wala ukristo kwanza nakataa wale binadamu kama sisi wanaofanya makosa ,wengi wanawatetea .

Pia uislamu haufungamani na siasa ila unaheshimu mtawala katika kutoa maoni kwa sababu uislamu una mifumo yake .
official Tanzania tunafata za BAKWATA.
 
Umesahau mtoa mada ndio kaanzisha kejeli mkuu?
Dini yako inakufundisha ukitikanwa na wewe utukane? Wakikukejeli na wewe wakejeli?
Wakiitusi dini yako na wewe uitusi dini yao?

Huko makanisani/misikitini huwa mnaenda kufanya nini??
 
Umeacha kuwajibu wanaokejeli dini umenifuata mimi.

Nina hakima zaidi yako ila umeleta bangi na adabu mbaya labda ukawafanyie unawalisha sio mimi ...

Tena usijaribu kabisa sina tatizo na mtu.Sas sema hoja zipi?
Hekima huna mkuu, hilo liko wazi.
Hizi comments zako zinadhihirisha hilo.

Na pia sivuti bangi.
 
Ukijua kiarabu kidogo kucheza judo na kudaka visu ume maliza kila kitu
 

Huo uislamu ulianza lini yani vyuo vya kiisalmu viwe vikongwe kuzidi vyuo vya wagiriki,waroma au wa misri acha upotoshaji wewe.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ™Œ
 

Masilahi yepi yataguswa,kwahiyo kuuza rasmali na chanzo kikuu cha mapato nchini kwa wageni wewe umeona fair kwakuwa ni waisalmu wenzio??
 
swadakta.. km hawajakuelewa basi tena sheikh wangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…