Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Kigezo cha kuwa Sheikh (Shehe) ni nini?

Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!
Onyesha mfano wa reasoning ya kawaida ambayo masheikh hawana au wanashindwa, na Mimi nikuonyeshe toka kwa viongozi wenu. Mfano hilo suala la Bandari limeonyesha ni kwa namna gani viongozi wenu hawana akili.

Kitendo tu Cha kujiona wewe ni bora na kutokuwa muadilifu ni ishara ya uzwa zwa na uzandiki na ujinga ulio pea.

Wakristo kusoma Falsafa mnaona akili ? Huwa mnachekesha sana, watu ambao hamjui kuchamba Wala kula bali hata ustaarabu ni nini ? Utasema nini mbele ya watu wenye akili timamu ?

Kwetu sisi Waislamu hakuna kusoma Usheikh, Usheikh unakuja tu kwa kile ulichokisomea na ukakifanyia kazi, ndio maana hakuna matabaka katika dini yetu, lakini kwenu nyinyi mavazi anayo vaa Padri wewe muumini huvai Wala anayo vaa papa. Sasa mna akili gani mnayojivunia nyinyi ?

Kutetea maslahi yenu kwa mgongo wa Bandari ? Sasa msifikiri waislamu hawana akili timamu kama nyinyi kwa kutumia vipimo dhalili vya degree kujua uwezo wa kufikiri wa mtu.
 
Kila muislam ni kiongozi WA nani Sasa ,maana wote hawezi kuwa viongozi watakasa WA kuwaongoza
Kiongozi anayetangaza mwezi unataka awe na elimu gani?

Anayeswalisha unataka awe na elimu gani?

Baraza la maulamaa unataka liwe na elimu gani ?


Kila unayemuona kweny nafasi yake ana elimu husika.

Pia Kumbuka uislamu haufungamani na demokrasia ndo maana wanataka mahakama ya kadhi ... Uislamu pekee upo complete so usilete habari mpya hapa.!
 
Kila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.

Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaisha kikubwa awe anajua.

Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..

Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haupi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.

Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.

Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.
Darasa bora kutoka kwa ndugu yangu katika imani
 
Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!

Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Ukiweza kushawishi waumini kwamba IMF ukiisoma from end to start ni freemason international, ukiweza kufafanua shangilia ya Cristiano Ronaldo ww cyo mtoto wa mkulima ww ni sheikh mkubwa Afrika mashariki na Kati, ukiweza kuelezea nembo ya MOSSAD, CIA, M16 kaka we ni ulamaaa kbs
Chuki hizi kaa kimya kama huna jibu
 
Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Sasa kama wewe mkristo unaa andika ujinga wa namna hii, hao viongozi wako unao wafata si ndio maziwa zwa.

Nani alikwambia haya ? Au unaandika tu ilimradi umeandika ? Andika yaliyo ya kweli.

Sisi tunasema hivi hakuna watu makini katika suala la elimu, kuwazidi Waislamu, sababu Waislamu wanaangalia maslahi na mafsada.

Mfano nilisema tumjadili Sheikh Mmoja katika masheikh zetu kwa elimu, kisha tukamjadili hata papa wenu, hafui dafu miaka yote achilia mbali Hawa viongozi wenu wa chini.

Wakristo viongozi wenu wakishasoma degree fulani wakasoma falsafa basi mnawaita Wana akili kubwa ? Falsafa nayo fani ya kujifaragua ? Huwa Wana nawaona hamna akili hapo.
 
Fafanua zaidi Mkuu, kiu hasa ya mleta mada ni kujuana,hao ma sheikh wana graduate ? ,Kwa mfano, Elimu ya Dunia tunajua mtu akiitwa Msomi Basi amefikia ngazi Fulani ya Elimu Kama Degree

Je hiyo Elimu ya Dini mnaiitaje ? Ni hatua ipi hasa ya Elimuhasa ambayo ndio mtu anatakiwa kuimaliza Hadi kuwa sheikh ?
Kwenye Uislamu hakuna kusomea Usheikh. Bali watu wanasoma dini, kwa maana ya elimu ya dini.

Usheikh hausomewi. Leo hii Kuna usomaji wa nidhamia yaani wa miataala mpaka uzamili, uzamivu na mfano wa huo na kuna Ile elimu au usomaji wa asili wa madarasa duara yaani misikitini, wewe unaweza kusoma vyuoni ukimaliza lazima tena usome misikitini kwa wanazuoni au masheikh wakubwa wenye elimu, hapa unaonyeshwa ya kuwa elimu ya mitaala bado haikodhi haja.

Sasa nyinyi Wakristo hii elimu ya mitaala ndio mmeiona kuuubwaaa.
 
Ndo uzuri wa elimu unafuat maandiko😅😅yaani hupelekwi kama mzogo ,kila mtu anasoma na dalili anazo hakuna wa kumshikia mtu akili...Kumbuka Mwinyi alipigwa kibao .
Kwahiyo kumpiga kibao Mzee kama Mwinyi ndio akili?
 
Mimi huwa nasikia ukiwa na wake wanne unakuwa shehe.mfano shehe kipozeo
Shida yenu Wakristo sio wasomi mnapenda kusikia sikia, ndio maana mmekuwa wajinga kupindukia.

Wapo masheikh wamekufa hawajaoa na wengine wakiwa chini ya miaka arobaini, walikuwa na elimu kuwazidi wakiona Paulo, na hao mapadri wenu. Siku mkijua maana ya elimu sijui Kuna Mkristo atakubali kuwa Mkristo.
 
Kwahiyo kumpiga kibao Mzee kama Mwinyi ndio akili?
Yaani namaanisha huku ukileta ujinga kila mtu mnaijua dini unapigwa hata uwe Raisi uislamu hautambui cheo chako... Tupo independent hatuendeshwi na matamko ya watu wachache.


Wewe Phd unaenda kutubu dhambi kwa mwenzio ambaye kesho unasikia kalawiti mara kaangalia porno tena kwa computer xa kanisa .
 
Ofcourse ni wasomi kweli. Record zinaonyesha na isitoshe muundo wa dini huwez kuwa kiongozi kama hujasoma kweli kweli
Usomi gani unao iongelea hapa ? Usomi wa falsafa ?

Wakristo mlitakiwa kwanza mjifunze maana ya elimu.

Muundo wa dini yenu na elimu wapi na wapi ? Hivi mngekuwa na elimu kweli mngeruhusu kuvaa misalaba ? Au mngeshindwa kuwajua waandishi wa Biblia na zile Injili zenu ni kina nani ?

Danganyaneni wenyewe huko, kwa falsafa lakini ukweli ni kuwa mnasoma lakini mnasomea ujinga.
 
Wakristo mara nyingi wamekuwa wakijifanya wasomi.

Wanaenda mbali zaidi kwa kuwadharau waislamu kwamba ni 'wazee wa mdarasa' hawana elimu.

Cha ajabu usomi wao upo mdomoni tu huku nchi ikizidi kufubaa na wao wasomi wakiangalia tu.

Hii nchi inafubaa kwa sababa ya viongozi wahovyo walafi wenye kuweka maslahi yao mbele. Wasomi wameamua kutembea na mfumo uliopo ilo waishi.
 
Oh Tate nanee,,wabwanga tushikamane.

Hao wanaosoma miaka 10 nawafananisha na msafiri anayepita nyikani Toka mwanzo wa safari mpaka anafika Hajawahi geuka nyuma.

Hao waliokaa miaka 10 darasani,Sasa hivi wanazurura na waraka madhabauni ilihali wakijua au la tatizo ni Katiba.Yaani wamekaa darasani ila tatizo hawalijui.

Mvua inanyesha inapeleka maji baharini Kisha mnaagiza mafuta ya alizeti Toka Uikrane,,,miaka 10 darasani imewasaidia Nini?

Awamu ya kwanza mlikua na RC mbobezi,Taifa mmelisaidia Nini?

Hivi unafahamu hata shinikizo la kuvunja bunge la katiba ilitoka tec baada ya ccm kupuuzia maoni ya wananchi kupitia rasimu ya waroba??

Hayo mengine yamechangizwa na ulafi,wizi na tamaa za wanasiasa ulitaka kila jambo kanisa liingilie kati?kanisa lina mengi sana ya kufanya.
 
Hii Miaka 10 mnayopitia wenzetu athari yake ni nini kwenye jamii,mbona haionekani ?
Zaidi ya majigambo ,mbona hatuoni utofauti wa ninyi mnaopitia Miaka Kumi na Sisi tulioishia ngumbaru
Maana mfano rahisi Ni huu ulionyesha hapa,umeshindwa hata kutafuta maana ya sheikh Bali umeishia kusakama tu
Sasa tofauti yako ww msomi uliekaa miaka 10 lkn umeshindwa hata kutafuta maana ya neno rahisi na ambae hajasoma ,Ni iPi
Nilitegemea ungelikuja na majibu kua mm kama msomi nimetumia maarifa yangu kutafuta maana ya hili neno ,nimefahamu kua maana yake ni hii, lakini Si hivyo
Tofauti yenu na Sisi ni nini ikiwa hata Hilo dogo Ni shida kulitatua

Kama umeshindwa kuiona tofauti katika hata hili la mjadara wa mkataba wa dpw na tz basi utakua na mtindio wa ubongo.
 
Shida yenu Wakristo sio wasomi mnapenda kusikia sikia, ndio maana mmekuwa wajinga kupindukia.

Wapo masheikh wamekufa hawajaoa na wengine wakiwa chini ya miaka arobaini, walikuwa na elimu kuwazidi wakiona Paulo, na hao mapadri wenu. Siku mkijua maana ya elimu sijui Kuna Mkristo atakubali kuwa Mkristo.

Unazungumzia elimu gani mana naona huelewi hata unachokizungumizia,kama ni elimu ya majini na kukariri kurwani na hadithi hapo upo sawa,ila nje na hapo ile kauli ya bokoharamu ina chukua nafasi watu wa namna hii hawana exposure yoyote tofauti na nje ya wigo walionao.
 
Back
Top Bottom