Kama mnakubalika hivyo wizi ww kura huwa mnafanya wa nini? Ni vijiji gani unaongelea boss, labda vya huko Ukraine sio hivi hivi tunavyotembelea sisi. Kijiji kikishaingia smartphone hakuna uwezekano wa ccm kuendelea kutamba.Danganyanane huko mitandaoni lakini tulioko vijijini tunajua jinsi CCM inakubalika. Huku hakuna upinzani. Ni chini ya 30% na kumbuka 70% ya population wako vijijini.
Uje uchaguzi wa kusimamiwa na malaika bado itaongoza vijijini
Na bado unaiita ni Demokrasia?Nashukuru kwa kuleta hii mada hapa. Muda mrefu nimekuwa nikiwaza hivyo pia. Kupendwa na wanyonge ni dalili ya kuwa haufai, mbele ya werevu. Infact hii demokrasia ya kila mtu kupiga kura ndo imetufikisha hapa. "Wanyonge" hawapaswi kupiga kura. Uelewa wao wa mambo ni mdogo mno...wanadanganyika kwa propaganda.
So imehalalasha wizi wenu wa kutisha wa awamu yenu pendwa ya kinyonge? Wapuuzi sana walituita wanyonge ili watuibie. Nashukuru Mungu nilipinga kuitwa mnyonge mpaka siku alipotwaliwa aliyekuwa anatuita wanyonge.
Hata awamu ya Rais wa wanyonge? 😳😳 Kheee c tuliambiwa ulikua ni utawala wa wazalendo pekee wasio na wizi wowote?
Kwa hiyo Dr. Musukuma (PhD) kura yake haitakiwi kuwa na uzito sawa na ya kibajaji.....Kura ziwe na weighting. Uelewa mdogo iwe moja,uelewa mkubwa iwe hata 1000 kwa mtu mmoja
Huna akili timamu.
KANU ni jina tu kama ilivyo JUBILEE na ODM, Leo Kuna Azimio na UDA lakini watu Ni WALE WALE
Bora tumepigwa na tumeambiwa. Kuna huyo mwendazake alikuwa mstari wa mbele kwenye madhabahu nakusema hakuna wizi ila aliiba mpaka hela ya chumvi ya mboga. Unatuita wanyonge halafu unatuibia? Bora utuite matajiri halafu utupore tutafarijika matajiri tumeporwa.Bado ww ni mnyonge Tu, na juzi hapa umepigwa Bilion 7 Kwa ajili ya movie, so Kula Kwa urefu wa kamba yako
Nchi hii kura haziamui nani awe Rais, kamuulize LowassaLabda kweli hawana wanachoelewa hawana maana yoyote lakini kura zao zina maana sana.
Ndio wanaoamua nani awe Raisi wa nchi.. nani awe Mbunge au Diwani.
Hao tabaka maalum la wenyenacho kielimu na kipato ni wachache sana.
Ila tu msije kulalamika mmeibiwa kura.
Ndio maana kuna utafiti ulifanywa wapumbavu kama wewe wakafurahia eti oooh kuna chama kinapendwa na wakijijini wasionacho wasoelimika wazee na wanawake..
Wakijisifu kupendwa na wasomi vijana na wenyenacho bila kuwa hilo ni kundi dogo kwenye kura halitoshi
Wakunyongwa, walionyongwa na wanaoendelea kutapeliwa na elite, ruling class - ccm yao day in day outWanyonge ndio watu gani?
Kwahiyo kitu pekee kizuri kutoka kwa Hao watu wa daraja la chini ni kura zao tu ?! Au !! Maana umesema hawajui chochote kuhusu masuala ya uchumi etcetera , of course hata huko wanapojinasibu nchi zimeendelea watu wengi huwa wanaangalia zile basic needs za kila siku wanamudu kuzipata ?? Kulingana na kipato chao ?? Kama wanashindwa kumudu lazima utasikia kelele nyingi !!Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli
Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine
Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi
Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali
Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana
Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi
Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana
hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Hamna anaye justify wanyonge kukandamizwa, ila kutumia wanyonge kama kipimo cha rais bora ni yupi ni misleadingOgopa sana hilo tabaka.
Siku wakichoka hapatakalika na utatamani uombe nafasi ya kutubu lakini haitakuwepo.
Ni hatari sana kuendelea kumkandamiza maskini kwa muda mrefu bila kumpa pumzi.
Kwani wanyonge siyo wananchi?
Rais wa juzi aliahidi na kutenda kweli, tofauti na wanasiasa wengine.
Ndio maana Watanzania wengi tulimpenda na tunampenda sana.
Wamezaliwa ni wezi kama ukoo wa panya ? Au wamefundishwa kuwa wezi ?? Na je kama hali ndio imekuwa hivyo tuendelee kuwa hivyo hivyo ??!Tanzania kila mtu Ni MWIZI.
Hata ukimpa fundi kazi ya UJENZI wewe tegemea kuibiwa SIMENTI, MBAO na MABATI
Litaondoka jina tu CCM.Hata ccm ikitoka madarakani unadhani watakuja wachina kukaa madarakani, watakaa hawahawa watanzania, lakini hii laana iitwayo ccm itaondoka na mambo mengi yatabadilika.
Sijasema mahitaji ama shida za wanyonge zipuuzweKwahiyo kitu pekee kizuri kutoka kwa Hao watu wa daraja la chini ni kura zao tu ?! Au !! Maana umesema hawajui chochote kuhusu masuala ya uchumi etcetera , of course hata huko wanapojinasibu nchi zimeendelea watu wengi huwa wanaangalia zile basic needs za kila siku wanamudu kuzipata ?? Kulingana na kipato chao ?? Kama wanashindwa kumudu lazima utasikia kelele nyingi !!
Labda kweli hawana wanachoelewa hawana maana yoyote lakini kura zao zina maana sana.
Ndio wanaoamua nani awe Raisi wa nchi.. nani awe Mbunge au Diwani.
Hao tabaka maalum la wenyenacho kielimu na kipato ni wachache sana.
Ila tu msije kulalamika mmeibiwa kura.
Ndio maana kuna utafiti ulifanywa wapumbavu kama wewe wakafurahia eti oooh kuna chama kinapendwa na wakijijini wasionacho wasoelimika wazee na wanawake..
Wakijisifu kupendwa na wasomi vijana na wenyenacho bila kuwa hilo ni kundi dogo kwenye kura halitoshi
Litaondoka jina tu CCM.
Watu watakuwa wale wale.
Lowassa wa CCM ndiyo yule yule wa CHADEMA.
Wewe ni MFUASI UPEPO.
Bible inasema inasema palipo na mzoga ndipo watakapo kusanyikia TAI.
Hata Leo ikiingia madarakani CHAUMA watu wengi kutoka vyama vingine hata CCM watahamia huko huko kwenye ulaji na wewe Happ HUNA CHA KUFANYA.
Kwani Mara ngapi wagombea wanakatwa CCM wanahamia vyama vingine.
Tumia Akili, punguza matarajio yasiyokuwepo. Punguza kutumika.