Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #61
Hii mada nimeianzisha mimi, siwakilishi kundi lolote..Au unaweza kunionyesha mimi niliposema 'tuliibiwa kura?'Hamueleweki.....
Mliibiwa kura? Ndiyo
Watawala wanapendwa na wanyong...
Ndio hao hao walikuwa wanawalaghai awamu iliyopita kwa kuwafanyia maigizo ya kula mahindi kwenye misafara ya Rais na eti kununua/ kupeana jogoo kutoka kwa wanyonge 😂😂😂..Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli
Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine
Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi
Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali
Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana
Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi
Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi mafisadi, nitrawaruhusu kufanya biashara barabarani, nitawaruhusu kuchunga mifugo kwenye hifadhi n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana
hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Hoja yangu Ni kwamba unachotaka kukipata Ni kitu kisichokiwepo, utahangaika mpaka kufa.Hoja yako ni ipi hapa dogo?
Waliokata tamaa na maisha huku wakitegemea mwanasiasa laghai awatoe kwenye umaskini..Wanyonge ndio watu gani?
Hao hao wanyonge 😂😂Wanaolalamikia gharama za vyoo stendi, kivuko kigamboni na kutegemea msaada baada ya nyumba zao kubomolewa na tetemeko wanaingia kwenye daraja gani kiuchumi?
Wengi si ndio nyie wanasiasa matapeli mnawatumia hao mnaowaita wanyonge kama ngazi za kupata vyeo na kupiga pesa huku mkiwalisha maneno ya uzalendo 😀😀Mnaojiona mna "akili" ndio mnaongoza hili taifa tangu tupate uhuru, mmelifanyia nini taifa cha maana?
Zina maana ndio ila kumbuka ukiwa na Taifa lililojaa hao watu huwezi pata maendeleo ya maana kwa sababu hao watu watawachagua wanasiasa waongo na walaghai wasiowaambia ukweli..Labda kweli hawana wanachoelewa hawana maana yoyote lakini kura zao zina maana sana.
Ndio wanaoamua nani awe Raisi wa nchi.. nani awe Mbunge au Diwani...
a.k.a wajingaRais wa wanyongeView attachment 2191850
Hakuna kitu kinaitwa Chatto (International Airport) ila Geita Airport na IATA Code yake ni GIT. Unajikuta mjuaji kumbe haujui chochote. 🚮Geita sio Chato, na kwenda huko haimaanishi kuwa ni route yenye faida.
Ukisema uongo hakikisha unajua pia na ukweli wake😂😂😂. Natumia sana uwanja wa Chato na nimekuja Dar jumamosi narudi jumanne. Sijaona kufutwa kwa safari za ATCL kwenda ChatoNi wananchi wajinga wasiohoji lolote. Hao ndio waliambiwa uwanja wa ndege wa Chato unajengwa Tanzania, leo hii ATCL imesema haitapeleka ndege huko maana ni hasara, wako kimya hawajui hasara waliyoipata kwa kodi zao kutumika vibaya.
halafu hao wanyonge ndio wanaokupa kura kuliko wenye zao!Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli...
Ndio lakini hawana uelewahalafu hao wanyonge ndio wanaokupa kura kuliko wenye zao!
Jinga kweli wew
Mataifa makubwa yana amani kwa sababu the national cake is shared equally, na hiyo inawezesha kiongozi yeyote kuja na kuongoza bila matatizo. Hizo fikra zako kama ndiyo mawazo ya na serikali ya awamu ya 6 mmeshapoteza uhalali wa kutawala.Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli
Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa...
watakuwa wa CcmNdio lakini hawana uelewa
Nafikiri hujaielewa .Mataifa makubwa yana amani kwa sababu the national cake is shared equally, na hiyo inawezesha kiongozi yeyote kuja na kuongoza bila matatizo. Hizo fikra zako kama ndiyo mawazo ya na serikali ya awamu ya 6 mmeshapoteza uhalali wa kutawala.
Unaonaje tuweke sheria ili uweze kupiga kura uwe na degree umri kati ya 25 na 60 na kipato kianze 5000usd hapo tutaweza kuchagua viongozi boraZina maana ndio ila kumbuka ukiwa na Taifa lililojaa hao watu huwezi pata maendeleo ya maana kwa sababu hao watu watawachagua wanasiasa waongo na walaghai wasiowaambia ukweli..
Ila ukiwa straight kama Samia wanakuchukia na huwezi pata kura.
Hao mburula hata mwalimu aliwapuuza kwenye kura ya Maoni Kuhusu vyama vingi.
Ni wazo zuri ila Tusifike huko,jambo la muhimu kwanza ni Katiba Bora bila shaka itapunguza role ya wajinga kwenye kufanya maamuzi ambayo mwisho wa siku inakuwa ni costful sio tuu kwao bali kwa Nchi..Unaonaje tuweke sheria ili uweze kupiga kura uwe na degree umri kati ya 25 na 60 na kipato kianze 5000usd hapo tutaweza kuchagua viongozi bora
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, nadhani umeachia kiburi cha elimu ulichonacho kikutawale maishani mwako. That is wrong of you.Naona watu fulani wanapiga sana ngonjera kuhsu rais huyu kupendwa na wanyonge na mwingine kutopendwa na wanyonge, siju kama ni kweli
Lakini hebu tuwaangalie hawa wanyonge ni watu gani.. Wanyonge wanasemwa kuwa ni watu wa kipato kidogo wasio na ajira rasmi wala elimu kubwa, hata hapa JF wanasema mitandao kama ya Facebook ina wanyonge wengi ambao wanamkubali kiongozi fulani na kumkataa mwingine
Sasa ukipima uelewa wa hawa wanyonge kuhusu maswala ya siasa, utawala na uchumi ndio utajua kuwa hawa watu maoni yao hayana maana yoyote kuhusu rais bora ama asiye bora ni yupi
Ukiwauliza kuhusu ripoti ya CAG hawajui lolote, ukiwauliza majukumu ya bunge hawajui, ukiwauliza kuhusu uchumi wa kati ni nini hawajui lolote, yaani hawaelewi chochote kuhusu mihimili na mifumo ya serikakali
Na kutokana na uelewa finyu wanyonge hawa ni rahisi sana kulaghaiwa na wanasiasa, mfano kipindi cha mwaka 2010 hadi 2015 Chadema walijipatia sifa na umaarufu sana kutoka kwa wanyonge kwa kuwaambia kuhusu ufisadi wa Lowassa, lakini Chadema walipobadilisha gia angani na kumsimamisha Lowassa kwenye urais, Wanyonge waliwakubali tena Chadema na kufikia kudeki barabara na kumpa Lowassa kura nyingi sana
Miaka ya hivi karibuni kulitokea kiongozi mmoja akafanikiwa sana kuwalaghai wanyonge, na ndio mtaji mkubwa unaotumika na wanaomtetea huyo kiongozi
Wanyonge wanapenda kuambiwa tu nitawapa vitu vya bure, nitawafilisi matajiri, nitrawaruhusu kufanya biashara popote, nitawaruhusu kuchunga mifugo popote n.k bila kuelewa hasara za hivyo vitu kwa mapana
hivi sasa crisis ya dunia na vitu kupanda bei imewapa nafasi nzuri wanasiasa laghai kuwatapeli wanyonge, utasikia mtandoni wakisema ingekuwa flani angekuwepo vitu visingepanda na wanyonge kutokana na kutoelewa wanawaamini
Sisemi wanyonge wakandamizwe ila sio kipimo cha ubora wa Rais
Hivi mkuu hao watawala wa zamani walikuwa wakichaguliwa na wanyonge?Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, nadhani umeachia kiburi cha elimu ulichonacho kikutawale maishani mwako. That is wrong of you.