Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

GOD BLESS YOU. UMEONGEA UKWELI MKUBWA KUPITILIZA. WAMEPOTEZA FURSA ISIYOELEZEKA KWA KIBURI CHAO. WANGEMTEGA MAMA KWA KUMPATIA MUDA WA MWAKA AU ANGALAU MIEZI SITA HALAFU WAKAFANYA HAYA MASHINIKIZO WANAYOFANYA SASA. DUNIA INGEWAELEWA NA KWA KWELI DUNIA INGEKUA UPANDE WAO. NOW THEY HAVE WAISTED IT AND IT IS OVER.

..wangempa miezi sita, halafu wakaaza harakati zao wangeambiwa kwanini hawakumpa mwaka mmoja.

..wangempa mwaka mmoja, wangeambiwa kwanini hawajampa miaka miwili, visingizio na lawama dhidi ya wapinzani haziwezi kuisha.
 
Rais huyu kasema Katiba isubiri apange uçhumi kwanza. Mwendazake alisema Katiba mpya siyo ahadi yake ya kampeni. Hakuna mtu alimuuliza mpaka anakufa.

Huyu ana siku 120 kwenye ofisi kiungwana kabisa kaomba muda. Kwa ushauri wangu tungemuacha hadi mwaka mmoja uishe ndipo tumuulize tena.

Kitendo cha kujifanya tunaijua nchi kuliko yeye na wakati Mbowe na Lissu walishiriki kula Mabilioni ya Bunge la Katiba mwaka 2014 na wasitupatie Katiba siyo FAIR
Aliyekwamisha katiba mwaka 2014 ni mbowe?

Si ni Samia mwenyewe!!
 
Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.

Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.

Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Sasa vipi wanaokosolewa wanaona njia ya kuzuia ukosoaji ni kubambika kesi mbaya ili kujinusuru na ukosoaji.
 
Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.

Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.

Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Sasa vipi wanaokosolewa wanaona njia ya kuzuia ukosoaji ni kubambika kesi mbaya ili kujinusuru na ukosoaji.
 
Watakujibu kinafiki tu bro.
Umasikini ni shida sana

Kina watu wamekuwa watumwa wa wanasiasa..na wanawatumia kweli kweli
Siasa wewe haikuhusu kumbe? Tozo wewe aukatwi? Watoto wako hawakatwi tozo za kihuni?

Mama yako na babako na ndugu zako hawakatwi tozo za kihuni?

Kama hawakatwi basi upo sahihi!!
 
Wyatt akili yako ipo mbali sana, Mimi siipendi CCM, ila naamini kuna watu wanaakili ndani ya CCM, To name the few are January, Kuandikwa (marehemu),Mwinyi (rais wetu zbar)..
 
..CCM hata wabembelezwe vipi lazima watakuja na sababu za kuwadhulumu Chadema, na vyama vingine vya upinzani.

..ni bahati mbaya sana kwamba wamezoea siasa za hila na dhuluma, na hawawezi kabisa kupambana kwa hoja.

..Rais SSH alishaonyesha dalili za muelekeo mbaya alipoanza kudai wapinzani wachukulie kama mama yao mzazi, na alipoita wale wasiokubaliana naye waleta chokochoko.

..yeyote asiyekubaliana na CCM huwa hajibiwi kwa hoja bali hupewa jina baya kama msaliti, mchochezi, au mleta chokochoko, ili ashughulikiwe na Polisi na Mahakama zinazoamrishwa na CCM.
Nilitaka nisimjibu huyo jamaa Ila umasaidia kumjibu
Huyo jamaa either amelewa au hajui lolote kuhusu CCM
Yaani kabisa anaamini mama Samia alikuwa na nia nzuri na chadema? Ili ?
Anasema eti mama alikuwa na nia nzuri, lakini kasahau kuwa mama Samia huyohuyo alipiga marufuku mikutano ya siasa ambayo ipo kikatiba.
 
Na hili la katiba mpya lina mlolongo wenye sababu kwani mwenyekiti wa lile binge alikuwa ni mwenye mamlaka, confine hivi vya sasa visingizio tu, kukwama kwa mchakato siri yote anayo.
 
GOD BLESS YOU. UMEONGEA UKWELI MKUBWA KUPITILIZA. WAMEPOTEZA FURSA ISIYOELEZEKA KWA KIBURI CHAO. WANGEMTEGA MAMA KWA KUMPATIA MUDA WA MWAKA AU ANGALAU MIEZI SITA HALAFU WAKAFANYA HAYA MASHINIKIZO WANAYOFANYA SASA. DUNIA INGEWAELEWA NA KWA KWELI DUNIA INGEKUA UPANDE WAO. NOW THEY HAVE WAISTED IT AND IT IS OVER.
Kumbe katiba ni ya chadema duh!! Kwamba chadema wamepoteza fursa!!

Yani kumbe na Yale matozo ni ya chadema

Nchi ina watu wajinga sana hii.
 
Wyatt akili yako ipo mbali sana, Mimi siipendi CCM, ila naamini kuna watu wanaakili ndani ya CCM, To name the few are January, Kuandikwa (marehemu),Mwinyi (rais wetu zbar)..

..kwa ccm anayependa haki labda ni mzee warioba.

..ila wakati mwingine hunywea mbele ya ccm wasiopenda haki.
 
Wyatt akili yako ipo mbali sana, Mimi siipendi CCM, ila naamini kuna watu wanaakili ndani ya CCM, To name the few are January, Kuandikwa (marehemu),Mwinyi (rais wetu zbar)..
January? January huyu huyu? Hizo akili kapata lini? Au zile tweet ndio zinakuongopea?
Nakukumbusha tu leo tunamlaumu mwigulu kwa kuleta tozo kwenye miamala
Ila hata January makamba ndio alieleta Sheria ya kipumbavu na ya kinyonyaji ya cyber crime act mwanzoni mwa 2015
 
..kwa ccm anayependa haki labda ni mzee warioba.

..ila wakati mwingine hunywea mbele ya ccm wasiopenda haki.
Kuna watu wanajitoa ufahamu sana humu
Eti walikuwa wanasubiri hisani kutoka kwa CCM, kabisa chadema wasubiri hisani kutoka kwa CCM? Hao ACT tu waliokubali kuungana nao Cha Moto wanakiona, ndio ije kuwa chadema
 
Mh Tundu umejisifia sana. Acha watu wakusifia wewe mnyampaa
Sijawahi hata kukutana na Tundu Lissu


Ila kigogo ni mshamba tu tena hata Mimi pamoja na kuishi huku ndani ndani namzidi ujanja!!

Kwamba katiba itafutwe na wanachi? Wanachi hao wataongozwa na nani kama sio siasa?

Watu waamuka tu ndani waanze kudai katiba? Huyu jamaa ni ushamba sana!!
 
Sio hivyo; mfano wa Uhuru wa maoni ka mfano, Mimi kusema, “unachoandika hapa ni kitu cha Kifala”
Sasa yeye kwanini wanaotoa maoni tofauti na yeye anawablock?

Yule ana stress za maisha tu na hana pesa mfukoni ndio maana anaangaika.
 
January? January huyu huyu? Hizo akili kapata lini? Au zile tweet ndio zinakuongopea?
Nakukumbusha tu leo tunamlaumu mwigulu kwa kuleta tozo kwenye miamala
Ila hata January makamba ndio alieleta Sheria ya kipumbavu na ya kinyonyaji ya cyber crime act mwanzoni mwa 2015
Na ndio mfadhili mkuu wa kigogo wakiwa pamoja na Nape, Ridhiwani.

Hata ni kama ile timu ya Kikwete Lowassa na Rostam Azziz.
 
Mshamba ni nani?

Mshamba ni yule anayejificha nyuma ya kibodi na kuwashambulia wengine au anapambana kwa kujitokeza na kuongea bila kupepesa macho kama Tundu Lissu anavyofanya?

Mshamba ni nani yule aliyeanza kupigania haki toka akiwa shule ya msingi, Sekondari, JKT na kuendelea au yule aliyeanza kujificha nyuma ya kibodi baada ya serikali kuvunja nyumba yake Kimara?

Mshamba ni yupi? Ambaye anaweza kumtukana kila mtu kisa tu kamkosoa au ni yule anayetumia hoja kujibu hoja za wale wote wanaomshambulia?.


Kuwablock watu wanaomkosoa kwenye post zake sio ushamba? Yaani mtu anapokukosoa ni adui yako wewe ni malaika Mbona Tundu Lissu hata Siro hajawai kumtukana ila uwa anamjibu kwa hoja?

Kwangu Mimi mshamba ni yule asiyejua anafanya nini, Anataka nini, Anapataje lini na wapi? Kumtukana kila mtu ni ushamba sana.

Imagine mtu anamtukana na kumzalilisha mtoto kama Zuchu au Nandy watu ambao hawaelewi maana ya siasa ni nini baada ya kuwapa elimu ya uraia wewe unatoka kuwatukana tu and you don't care!

Kwa taarifa Kigogo ni mtoto mdogo mno kwenye siasa za nchi hii harakati zako hazijafikisha hata miaka 10 wakati Tundu Lissu ameanza harakati miaka ya 1990 wewe jiulize ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?

Kigogo awaulize waliokuwepo kwenye utawala wa Mkapa walivyopambana na Tundu Lissu na Lissu kushinda miaka huyo hata twitter ilikuwa hakuna.

Waulize waliojaribu kumhonga Tundu Lissu kwenye utawala wa Mkapa ili aache kuwatetea watu waliokuwa wanatolewa maeneo ya migodi kwa nguvu kwenye mikoa ya Shinyanga, Mpanda, Tabota, Geita, Mara na Kagera watakupa majibu.

Lissu angekuwa mshamba si angechukua tu pesa za wazungu na kuachana na kuwatetea wananchi?

Tundu lissu miaka yote amekuwa akifanya kazi field tena akiwa sambamba na mke wake akiwa front line kabisa nafikiri hata mwaka Jana alipokuja kufanya kampeni bado mliona alivyokuwa akisumbuana na Police kule Nyamongo na kwingine.

Sasa wewe ndugu yetu unamuita mtu mshamba ambaye yupo ulaya kwa kufanyiwa operation zaidi ya 25 baada ya kupigwa risasi halafu wewe upo ulaya nyuma ya kibodi.

Afadhari Lissu hata akifa leo Mungu akipenda historia ya Maisha yake tayari kashaimaliza historia aliyonayo ni kubwa mno.

Washamba ujificha, Washamba upanic, Washamba ujifanya wanajua kila kitu ili wasikosolewe, Washamba uzusha, hakika Washamba wakikosa ajenda ya kusimamia uwa wanaona kila binadamu ni adui wa maendeleo yao.

Wanaharakati wote duniani uwa hawapambani na mtu uwa wanapambana na mifumo, Jifunze kwa wanaharakati kama wakina Martin Luther King JR na wengine walipambana na mifumo na wakaja kushinda hata kama walikuwa hawapo tena.

Yaani unamtukana Tundu Lissu halafu unamsifia Mbowe? Wakati Mbowe na Tundu Lissu ufahamu hata walikutana vipi?

Kama wewe ni mwanamageuzi kweli njoo na I'd yako original na uje front line uongoze maandamano unayoyapigia kelele, njoo uanzishe chama ukiendeshe kiwe kikubwa kama angalau ACT.

Lissu mageuzi na mapambano aliyoyafanya yanatosha kabisa hata leo akistaafu siasa ila najiuliza kigogo ameshafanya kitu gani zaidi ya kutukana watu?

Mambo ya kuita watu washamba ni ushamba pia.
Nyie watu aisee

alipomuita Magu mshamba mliona sawa

sasa kaongeza list ya washamba mnanaind

Acha kigogo awaibue washamba
 
Back
Top Bottom