GOD BLESS YOU. UMEONGEA UKWELI MKUBWA KUPITILIZA. WAMEPOTEZA FURSA ISIYOELEZEKA KWA KIBURI CHAO. WANGEMTEGA MAMA KWA KUMPATIA MUDA WA MWAKA AU ANGALAU MIEZI SITA HALAFU WAKAFANYA HAYA MASHINIKIZO WANAYOFANYA SASA. DUNIA INGEWAELEWA NA KWA KWELI DUNIA INGEKUA UPANDE WAO. NOW THEY HAVE WAISTED IT AND IT IS OVER.
Aliyekwamisha katiba mwaka 2014 ni mbowe?Rais huyu kasema Katiba isubiri apange uçhumi kwanza. Mwendazake alisema Katiba mpya siyo ahadi yake ya kampeni. Hakuna mtu alimuuliza mpaka anakufa.
Huyu ana siku 120 kwenye ofisi kiungwana kabisa kaomba muda. Kwa ushauri wangu tungemuacha hadi mwaka mmoja uishe ndipo tumuulize tena.
Kitendo cha kujifanya tunaijua nchi kuliko yeye na wakati Mbowe na Lissu walishiriki kula Mabilioni ya Bunge la Katiba mwaka 2014 na wasitupatie Katiba siyo FAIR
Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.
Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Sasa vipi wanaokosolewa wanaona njia ya kuzuia ukosoaji ni kubambika kesi mbaya ili kujinusuru na ukosoaji.Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.
Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.
Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Sasa vipi wanaokosolewa wanaona njia ya kuzuia ukosoaji ni kubambika kesi mbaya ili kujinusuru na ukosoaji.Hapo ndiyo tofauti kati ya viongozi wenye busara na wenye mihemuko ilipo.
Na musipowakosoa ndiyo wanazidi kuwa WAJINGA
Siasa wewe haikuhusu kumbe? Tozo wewe aukatwi? Watoto wako hawakatwi tozo za kihuni?Watakujibu kinafiki tu bro.
Umasikini ni shida sana
Kina watu wamekuwa watumwa wa wanasiasa..na wanawatumia kweli kweli
Nilitaka nisimjibu huyo jamaa Ila umasaidia kumjibu..CCM hata wabembelezwe vipi lazima watakuja na sababu za kuwadhulumu Chadema, na vyama vingine vya upinzani.
..ni bahati mbaya sana kwamba wamezoea siasa za hila na dhuluma, na hawawezi kabisa kupambana kwa hoja.
..Rais SSH alishaonyesha dalili za muelekeo mbaya alipoanza kudai wapinzani wachukulie kama mama yao mzazi, na alipoita wale wasiokubaliana naye waleta chokochoko.
..yeyote asiyekubaliana na CCM huwa hajibiwi kwa hoja bali hupewa jina baya kama msaliti, mchochezi, au mleta chokochoko, ili ashughulikiwe na Polisi na Mahakama zinazoamrishwa na CCM.
Kumbe katiba ni ya chadema duh!! Kwamba chadema wamepoteza fursa!!GOD BLESS YOU. UMEONGEA UKWELI MKUBWA KUPITILIZA. WAMEPOTEZA FURSA ISIYOELEZEKA KWA KIBURI CHAO. WANGEMTEGA MAMA KWA KUMPATIA MUDA WA MWAKA AU ANGALAU MIEZI SITA HALAFU WAKAFANYA HAYA MASHINIKIZO WANAYOFANYA SASA. DUNIA INGEWAELEWA NA KWA KWELI DUNIA INGEKUA UPANDE WAO. NOW THEY HAVE WAISTED IT AND IT IS OVER.
Wyatt akili yako ipo mbali sana, Mimi siipendi CCM, ila naamini kuna watu wanaakili ndani ya CCM, To name the few are January, Kuandikwa (marehemu),Mwinyi (rais wetu zbar)..
January? January huyu huyu? Hizo akili kapata lini? Au zile tweet ndio zinakuongopea?Wyatt akili yako ipo mbali sana, Mimi siipendi CCM, ila naamini kuna watu wanaakili ndani ya CCM, To name the few are January, Kuandikwa (marehemu),Mwinyi (rais wetu zbar)..
Kuna watu wanajitoa ufahamu sana humu..kwa ccm anayependa haki labda ni mzee warioba.
..ila wakati mwingine hunywea mbele ya ccm wasiopenda haki.
Sijawahi hata kukutana na Tundu LissuMh Tundu umejisifia sana. Acha watu wakusifia wewe mnyampaa
Sasa yeye kwanini wanaotoa maoni tofauti na yeye anawablock?Sio hivyo; mfano wa Uhuru wa maoni ka mfano, Mimi kusema, “unachoandika hapa ni kitu cha Kifala”
Na ndio mfadhili mkuu wa kigogo wakiwa pamoja na Nape, Ridhiwani.January? January huyu huyu? Hizo akili kapata lini? Au zile tweet ndio zinakuongopea?
Nakukumbusha tu leo tunamlaumu mwigulu kwa kuleta tozo kwenye miamala
Ila hata January makamba ndio alieleta Sheria ya kipumbavu na ya kinyonyaji ya cyber crime act mwanzoni mwa 2015
Kigogo ni much know mmoja hivi hana adabu kwa kila mtu
Nyie watu aiseeMshamba ni nani?
Mshamba ni yule anayejificha nyuma ya kibodi na kuwashambulia wengine au anapambana kwa kujitokeza na kuongea bila kupepesa macho kama Tundu Lissu anavyofanya?
Mshamba ni nani yule aliyeanza kupigania haki toka akiwa shule ya msingi, Sekondari, JKT na kuendelea au yule aliyeanza kujificha nyuma ya kibodi baada ya serikali kuvunja nyumba yake Kimara?
Mshamba ni yupi? Ambaye anaweza kumtukana kila mtu kisa tu kamkosoa au ni yule anayetumia hoja kujibu hoja za wale wote wanaomshambulia?.
Kuwablock watu wanaomkosoa kwenye post zake sio ushamba? Yaani mtu anapokukosoa ni adui yako wewe ni malaika Mbona Tundu Lissu hata Siro hajawai kumtukana ila uwa anamjibu kwa hoja?
Kwangu Mimi mshamba ni yule asiyejua anafanya nini, Anataka nini, Anapataje lini na wapi? Kumtukana kila mtu ni ushamba sana.
Imagine mtu anamtukana na kumzalilisha mtoto kama Zuchu au Nandy watu ambao hawaelewi maana ya siasa ni nini baada ya kuwapa elimu ya uraia wewe unatoka kuwatukana tu and you don't care!
Kwa taarifa Kigogo ni mtoto mdogo mno kwenye siasa za nchi hii harakati zako hazijafikisha hata miaka 10 wakati Tundu Lissu ameanza harakati miaka ya 1990 wewe jiulize ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?
Kigogo awaulize waliokuwepo kwenye utawala wa Mkapa walivyopambana na Tundu Lissu na Lissu kushinda miaka huyo hata twitter ilikuwa hakuna.
Waulize waliojaribu kumhonga Tundu Lissu kwenye utawala wa Mkapa ili aache kuwatetea watu waliokuwa wanatolewa maeneo ya migodi kwa nguvu kwenye mikoa ya Shinyanga, Mpanda, Tabota, Geita, Mara na Kagera watakupa majibu.
Lissu angekuwa mshamba si angechukua tu pesa za wazungu na kuachana na kuwatetea wananchi?
Tundu lissu miaka yote amekuwa akifanya kazi field tena akiwa sambamba na mke wake akiwa front line kabisa nafikiri hata mwaka Jana alipokuja kufanya kampeni bado mliona alivyokuwa akisumbuana na Police kule Nyamongo na kwingine.
Sasa wewe ndugu yetu unamuita mtu mshamba ambaye yupo ulaya kwa kufanyiwa operation zaidi ya 25 baada ya kupigwa risasi halafu wewe upo ulaya nyuma ya kibodi.
Afadhari Lissu hata akifa leo Mungu akipenda historia ya Maisha yake tayari kashaimaliza historia aliyonayo ni kubwa mno.
Washamba ujificha, Washamba upanic, Washamba ujifanya wanajua kila kitu ili wasikosolewe, Washamba uzusha, hakika Washamba wakikosa ajenda ya kusimamia uwa wanaona kila binadamu ni adui wa maendeleo yao.
Wanaharakati wote duniani uwa hawapambani na mtu uwa wanapambana na mifumo, Jifunze kwa wanaharakati kama wakina Martin Luther King JR na wengine walipambana na mifumo na wakaja kushinda hata kama walikuwa hawapo tena.
Yaani unamtukana Tundu Lissu halafu unamsifia Mbowe? Wakati Mbowe na Tundu Lissu ufahamu hata walikutana vipi?
Kama wewe ni mwanamageuzi kweli njoo na I'd yako original na uje front line uongoze maandamano unayoyapigia kelele, njoo uanzishe chama ukiendeshe kiwe kikubwa kama angalau ACT.
Lissu mageuzi na mapambano aliyoyafanya yanatosha kabisa hata leo akistaafu siasa ila najiuliza kigogo ameshafanya kitu gani zaidi ya kutukana watu?
Mambo ya kuita watu washamba ni ushamba pia.
Kama mbwa kokoAmeanza kuwacharaza mnabweka
"ushirika wa wachawi huwa haudumu"Mgambo wanaruka na kukanyagana.
Hii ni kama vita ya Panzi.