Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

Magufuli Kiboko Kigogo Akamatwa Kwa Tuhuma za Kuhusika na Unga

DAR ES SALAAM: Mfanyabiashara maarufu jijini Dar ‘kigogo’, Daudi Yakubu Kanyau (pichani) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulevya, Makao Makuu Ufundi, Kilwa Road, Dar akihusishwa kwa namna moja au nyingine na biashara ya madawa hayo maarufu kwa jina la ‘unga’.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, mfanyabiashara huyo alikuwa akitafutwa na dola kwa kufuatilia nyendo zake siku nyingi baada ya kuwemo kwenye orodha ya watu wanaosadikiwa kuijua kiundani biashara

TAARIFA NDANI YA JESHI LA POLISI
Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi la polisi zinadai kuwa Kanyau alikamatwa nyumbani kwake, Salasala jijini Dar wiki moja iliyopita kwa ushirikiano wa kikosi cha madawa ya kulevya na kikosi cha kupambana na utakatishaji fedha haramu (money laundering) ambao wao huchunguza utajiri wa mtu na uhalali wa kipato.

MALI ZAKE ZASHIKILIWA
Habari zaidi kutoka ndani ya jeshi hilo zinadai kuwa polisi wanashikilia mali za Daudi kwa ajili ya uchunguzi wa namna alivyozipata pia kuchunguza misaada mbalimbali aliyokuwa akiitoa kwa jamii, kama vile kujenga nyumba za familia, ibada na mingine.

KWA NINI?
Hatua hiyo imekuja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga kutangaza vita dhidi ya wauzaji na watumiaji wa unga na kuagizwa kukamatwa mara moja.

DCI ANENA
Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Tanzania, Diwani Athumani hivi karibuni aliliambia gazeti hili kuwa msako mkali umeanzishwa na watu wengi wamekamatwa, wakiwemo vigogo lakini hakuwa tayari kutaja majina yao hadharani kwa madai kwamba upelelezi bado unaendelea.
 
Aaaahaaaa daudi kanyau ni muflisi hata nyumba ya kuishi kwa sasa hana mwaka jana mpaka wamegombana na mkewe maana nyumba haikaliki tena pesa hamna...mke kaenda kujibanza kwa bint yake mitaa ya Mwananymala...tena nyumba ya upande...yeye mwenyewe magomeni kashatimuliwa walipokua akiishi na familia....daudi ni apeche alolo sio daudi wa miaka minne nyuma ndio alikua daudi kanyau...sasa pesa ya Kyla shida
 
Aaaahaaaa daudi kanyau ni muflisi hata nyumba ya kuishi kwa sasa hana mwaka jana mpaka wamegombana na mkewe maana nyumba haikaliki tena pesa hamna...mke kaenda kujibanza kwa bint yake mitaa ya Mwananymala...tena nyumba ya upande...yeye mwenyewe magomeni kashatimuliwa walipokua akiishi na familia....daudi ni apeche alolo sio daudi wa miaka minne nyuma ndio alikua daudi kanyau...sasa pesa ya Kyla shida
Sasa kama apeche alolo wamekamata mali zipi au chai tu za shigongo??
 
Alikua anapesa kweli ila kwa sasa ni muflisi zaidi ya miaka 3 sasa hana kitu namjua haswa siwakuhadisiwa namjua mkewe, nawajua wanawe
Inaonyesha ulikuwa na usongo nayo sana hii familia,kwa jinsi unavyowajua, basi kama sio ndugu utakuwa familia rafiki ambayo ulikuwa na kijicho kama watu watanga wasemavyo
 
Inaonyesha ulikuwa na usongo nayo sana hii familia,kwa jinsi unavyowajua, basi kama sio ndugu utakuwa familia rafiki ambayo ulikuwa na kijicho kama watu watanga wasemavyo
Surely ujakosea,,maana dizain anavyo
Explain
 
Wewe nimjinga Aaaaahaaaaa nimuonee wivu Mtu anaeuwa watu?!!! Wewe zimo kichwani kweli...nilichonacho kwenye maisha yangu nikikubwa mno tena mno sina hata mda wa kumuonea wivu naapah...iyo family naijua nilichokua najaribu nikuondoa upotoshaji wa shigongo na uwongo wa serikali kama nikweli wamemkamata mtu muflisi
Sasa kuna sehemu uliyopotosha zaidi ya kuonyesha chuki na furaha, nyie ndio wale mliokuwa mkipewa hela na mke wa daudi pale lango la jiji mkatunze waimbaji,kumbe ni wanafiki tu.
 
Maana nilikuwa nikisikia huyo mke wa daudi alI,kuwa akitembea na msururu wa wapambe,kazi Yenu ilikuwa kuwasuta wale wanaomzonga boss wenu, leo Mnamsema Humu amakweli kikulacho ki...........
!
Ndio maana nimekwambia wewe ni mjinga tena mjinga ulopitiliza nakuonea na huruma aaaaahaaaaa ....uwezo nilokua nao uyo kanyau na mkewe hawanipati hata robo...nishakwambia nilochokua naondoa niupotoshaji ambao ungeendelea hapa ..so wakati mwingine acha kuvamia watu usowajua sio kila anaeandika hapa ukamuona hamnazo kama wewe
 
Oama ulikuwa ukijua kama anauwa watu mbona hukuja Humu kusema, wakati uzi wa huyo family friend wako uko Humu kitambo, leo umeona line imekata ndio unakuja kubana pua!
Usifikirie mimi nashinda JF kama wewe naingia humu nikipata mda naweza maliza hata mwezi sijaingia humu.....eti line imekata aaaahaaaaa we kijana sijui kama kichwa chako kiko sawa aaaaaahaaaaa....wivu utakua nao wewe labda usokua na shughuli ya kufanya Alhamdulilah natengeneza pesa ya halali tena pesa ya maana Alhamdulilah mara elf
 
Usifikirie mimi nashinda JF kama wewe naingia humu nikipata mda naweza maliza hata mwezi sijaingia humu.....eti line imekata aaaahaaaaa we kijana sijui kama kichwa chako kiko sawa aaaaaahaaaaa....wivu utakua nao wewe labda usokua na shughuli ya kufanya Alhamdulilah natengeneza pesa ya halali tena pesa ya maana Alhamdulilah mara elf
Kwa jinsi unavyoongea unaonekana ni kilaza pia ni choka mbaya. Sasa mirungi nani atawanunulia maana gari tayari limewaacha
 
Ndio maana nimekwambia wewe ni mjinga tena mjinga ulopitiliza nakuonea na huruma aaaaahaaaaa ....uwezo nilokua nao uyo kanyau na mkewe hawanipati hata robo...nishakwambia nilochokua naondoa niupotoshaji ambao ungeendelea hapa ..so wakati mwingine acha kuvamia watu usowajua sio kila anaeandika hapa ukamuona hamnazo kama wewe
Mtu mwenye uwezo hawezi kuji associate na hao wapuuzi wewe,ama kweli Humu mdani rumajikuta tunaongea na watu ambao si type zetu na illiterate. Mwenye akili na uwezo huwezi kumsikia akijisifia kabisa mpuuzi na bichwa bapa kama nyie ndio mjitapao, huku ukijijua ni nani. kabati wewe.
 
Aaaahaaaa daudi kanyau ni muflisi hata nyumba ya kuishi kwa sasa hana mwaka jana mpaka wamegombana na mkewe maana nyumba haikaliki tena pesa hamna...mke kaenda kujibanza kwa bint yake mitaa ya Mwananymala...tena nyumba ya upande...yeye mwenyewe magomeni kashatimuliwa walipokua akiishi na familia....daudi ni apeche alolo sio daudi wa miaka minne nyuma ndio alikua daudi kanyau...sasa pesa ya Kyla shida
mkuu unaonesha kama unataarifa zaidi kumhusu huyo jamaa. hebu funguka zaidi basi kumhusu.
 
Mtu mwenye uwezo hawezi kuji associate na hao wapuuzi wewe,ama kweli Humu mdani rumajikuta tunaongea na watu ambao si type zetu na illiterate. Mwenye akili na uwezo huwezi kumsikia akijisifia kabisa mpuuzi na bichwa bapa kama nyie ndio mjitapao, huku ukijijua ni nani. kabati wewe.
Aaaaahaaaaa masikini pole sana wewe kijana yani hapa nacheka mpaka....kweli usilolijua kama usiku wa kiza....ngoja nikuache mshinda JF 24 /7 Alhamdulilah I have good life ambayo unaiyota aaaaahaaaaa daah nimeamini ishi ujioneee ...Aaaaahaaaaa sijawahi kucheka kama leo maishani mwangu...alafu mbona roho imekutoka ivyo hao ni jamaa zako au... Mimi kuwaambia watu ukweli wewe mbona umehamaki ivyo !!!!!aaaahaaaaaa....nimeshakua bichwa bapa tena khaaa aaaahaaaaa...nimeji associate vipi sasa na hao watu!!! Kwanini usiniulize nimewajuaje bs !!! Watu wote unaowajua unaji associate nao...!!!unavyojua mambo ya lango la jiji ulikua ukienda nao!!!
 
Kwa jinsi unavyoongea unaonekana ni kilaza pia ni choka mbaya. Sasa mirungi nani atawanunulia maana gari tayari limewaacha
so nawewe una associate nao ???!!! Umejuaje wanakula mirungi Aaahaaaa ona sasa ulivyokua mjinga mpaka unajua wanakula mirungi kumbe unawajua sana Eeeh mpaka vikao vya mirungi unavijua....ona ulivyo choka mbaya mpaka ulikua unaenda wavizia kula nao mirungi ...aaahaaaaaaaa...nilikwambia toka mwanzo wewe ni mjinga tena mjinga haswaaa sasa utakua umenielewa maana ulikua unazunguka mbuyu tu.....
 
Nionavyo mimi kiwango cha Elimu kimeshuka hasa ukizingatia sifa za walimu waliopo , miundo mbinu tuliyonayo na utekelezaji wa mipango tuipangayo kuhusu Elimu.

Kama vigezo vya kupanda kwa Elimu ni idadi ya wanaojiunga katika ngazi furani ya elimu basi Elimu ya Tanzania iko juu mno kulinganishana huko nyuma.

Angalia matokeo ya kidato cha nne kila mwaka tumekuwa na karibu asilimia 80 ya wanasemwa wamefaulu kuwa na daraja la nne.Daraja ambalo hata afanyeje labda ataenda ualimu kama ambavyo tumefanya miaka ya 90 na mwanzoni mwa mwaka 2000.

Madarasa yapo watoto hawasomi kwa kukosa walimu hiyo Elimu itapandaje, ili tendo la kujifunza liweze kufanyika ni lazima mwalimu awepo na mwanafunzi pamoja na mabo mengine kadha wa kadha wataalamu wa elimu wanaijua.

Tutaendelea siku nyingine.

Asante.
Huyu tumeshawahi kumjadili siku za nyuma hapa jf.. idhu ikiwa ni kujenga kwake kituo cha kulelea watoto yatima na mskiti huko mbagala.. watu wengi walihoji juu ya vyanzo vya pesa yake.. huku wakihusisha na madawa.
Mwenye uwezo wa kuipandisha hyo thread afanye.hvyo
 
Back
Top Bottom