Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

kwa kujenga misikiti ni balaa ona huu
DSC_0018.JPG
Mkuu pandisha ile thread yake ya kitambo
 
Haramu inapohalalishwa Huruma nyingi sana hufanywa tuwatazame sana hawa wafadhili wetu
 
Basi nikisikia habari ya Kigogo navuta hisia ni kama El chapo kumbe dagaa tu hawa ,ama kweli nimeamini sio kazi rahisi kudeal na ma sonko wa hizi deal za unga ndio maana mkwere aliishia kusema ana majina tu
 
so nawewe una associate nao ???!!! Umejuaje wanakula mirungi Aaahaaaa ona sasa ulivyokua mjinga mpaka unajua wanakula mirungi kumbe unawajua sana Eeeh mpaka vikao vya mirungi unavijua....ona ulivyo choka mbaya mpaka ulikua unaenda wavizia kula nao mirungi ...aaahaaaaaaaa...nilikwambia toka mwanzo wewe ni mjinga tena mjinga haswaaa sasa utakua umenielewa maana ulikua unazunguka mbuyu tu.....
Kelele wewe, inaonyesha ni punda wa Daud,kesha kuharibu kinyeo hicho inaonyesha kimepanuka mpaka kopo la dawa ya mbu linazama bila tabu,unakuja hapa kutupa shida,ngojeni sasa wakimalizana na mabwana zenu wanaowatuma wanahamia kwa ma punda
 
Kwa kusoma habari hizi, nafurahia nilipoamua kumpigia kura Raisi wetu.
 
Usifikirie mimi nashinda JF kama wewe naingia humu nikipata mda naweza maliza hata mwezi sijaingia humu.....eti line imekata aaaahaaaaa we kijana sijui kama kichwa chako kiko sawa aaaaaahaaaaa....wivu utakua nao wewe labda usokua na shughuli ya kufanya Alhamdulilah natengeneza pesa ya halali tena pesa ya maana Alhamdulilah mara elf
ulivoandika kama hauko hivyo ulivosema
 
Back
Top Bottom