Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana


Nashukuru kwa ushauri, ila umaliziaji wako kwenye sentensi za mwisho umeniacha stend mkuu
 
Kwenye lile tangazo lao la kufatutwa kigogo, mtuhumiwa mwenye ile picha si anajulikana? kwanini policcm wasitoe arrest warrant jamaa mwenye picha adakwe huko huko unyamwezin aje kujibu tuhuma zake hapa nchin?

Unatania mkuu, alafu waliotoa tangazo nao walitania ujue
 
Taarabu nyingi mara miaka 39-49, mara ananyoa kipara, mara et ama saut nyepesi ila sio nzito!!!

Hivi fasihi inakuwa nyepesi kiasi hiki hata mtoto wa kidato cha pili anaielewa😀, Sasa umeshindwa nini kutaja jina as long as umetaja tabia halisi za uliyemficha??

Anyway wewe ni tai..... Ni tai..... ??
 
Kwa ulivotoa wasifu wake, inabidi upewe mgao kidogo kwenye ile "zawadi nono"

Yaani hapo ni kwa mujibu wa maandishi yake, ndio nimepata picha hiyo.

Kama wewe, unaonekana na mwanamke wa miaka 30 - 37
Umeajiriwa serikalini bila shaka sekta ya elimu
Mrefu wa futi tano
Maji ya kunde inayoenda nyeusi

Kama nimekosea kwako ndivyo nitakavyokuwa nimekosea kwa huyo Kigogo
 

Wewe umemjua kwani?

Hiyo ni picha mzee baba
 
Sawa mkuu lakini kwa maelezo ya Veronica France anasema kigogo ni January makamba, Nape Mnauye na Ridhiwani Kikwete.
 
Umekosea vyote, mi ni mwarabu
 
Wewe umemjua kwani?

Hiyo ni picha mzee baba
Hhahha hamna fasihi nyepesi kias hiki, ndani ya dk 2 mtu ameshafungua code zote. Wala hata haitaji kusoma shairi tena ....... Nakusoma sana but hii unalengo ovu lakumchafua unaetaka kumchafua......... Nafikiri ndio umenza kulitafuta donge nono
 
Hhahha hamna fasihi nyepesi kias hiki, ndani ya dk 2 mtu ameshafungua code zote. Wala hata haitaji kusoma shairi tena ....... Nakusoma sana but hii unalengo ovu lakumchafua unaetaka kumchafua......... Nafikiri ndio umenza kulitafuta donge nono

Mimi sina shida na donge nono mkuu, siitumikii pesa, bali pesa ndio inanitumikia.

Kwa hiyo wewe umemjua ni nani, maana mimi nimemuelezea mtu nisiyemjua sura yake labda kuifananisha tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…