Umesema kigogo ni mwana CCM na hajawahi kuwa upinzani hapo upo sahihi kabisa ila watu hawajaelewa,Iko hivi kigogo ni mwanachama wa ccm toka muda ila utawala wa magu ulimfanya kuwa adui haimaanishi aliichukia ccm ila alimchukia mtu aliyekuwa anaiongoza ccm.
Yote tisa ila mnaweza kushangaa kama nikisema kigogo ni Mwanamke,huyo kigogo ana mida yake ya kuwa hewani inawaje watu huwa wanasema yuto masaa yotehewani ila so kweli hiyo midsa apokuwa hayupo hewani huko alipo huwa ni alfajili mida ya kuamka na kuianza siki
Nimalize kusema kigogo ni smart kweli ila ni mwanamke.