Captain 22175
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 249
- 407
Kalamba teuzi na kwa mbaaaaali sana kaelekezwa kua zile ndoto za 2025 aziache kabisaSana,kwanza hajulikani,bora angekuwa anajulikana sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalamba teuzi na kwa mbaaaaali sana kaelekezwa kua zile ndoto za 2025 aziache kabisaSana,kwanza hajulikani,bora angekuwa anajulikana sawa
KimambiAlikuwa anamuokoa Nani??
[emoji16][emoji16]Kalamba teuzi na kwa mbaaaaali sana kaelekezwa kua zile ndoto za 2025 aziache kabisa
"Kigogo ni mwanachama wa CCM na kama ameacha chama basi ni siku za hivi karibuni, Kigogo hajawahi kuwa mpinzani na hatakuja kuwa mpinzani. Kigogo sio mwanaharakati halisi au wakweli kwani mambo anayoyafanya ni kwa maslahi yake binafsi sio maslahi ya taifa au jamii. Ni kwamba kuna sehemu maslahi yake yamebanwa sasa anahasira na serikali"- ROBERT HERIEL
Jinga sana jamaa wamelipa hela na wameliahidi kuwa ile kesi yake aliyokimbia kifungo itakwisha maana mafaili watayapoteza na akirudi nchini hakuna wa kumkamata
Bila shaka ndio ukweli wenyeweHayo ndio makisio yangu Mkuu
[emoji16][emoji16]
Hanna lolote huyu wamemuweza ile acc naona imechukuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo Ile picha na Salim jamaaa aonekane kala full black na uson kala sox.Kigogo hayupo hapa nchini!
Mwanzo kabisa wakikuwa wanamtumia Mange ila baadae wakahamia kwa kigogo.
Bbc walimhoji nafikiri ni mwaka jana lakini hawakutaja jina lake halisi.
Waswahili bana.Jinga sana jamaa wamelipa hela na wameliahidi kuwa ile kesi yake aliyokimbia kifungo itakwisha maana mafaili watayapoteza na akirudi nchini hakuna wa kumkamata
mngekua wa maana si mngemkamata kipindi kile cha jiwe hajafa, hamjawahi kuwa smart, jitu lilikua linawaanika hadharani eti leo ndio mwenzenu, kwahiyo wewe mzungu kwa thinking hiyo? mna kazi kubwa sana kutoboaWaswahili bana.
Ni MABINGWA wa USHABIKI.
Ila hawataki kukosolewa.
Ukiwakosoa tu, watajifanya wanakujua mara umenunuliwa mara umekuwa mjinga.
Ma wakikushabikia hata Pesa wanakupa.
Wanaowajulia hawa waswahili Wanapiga pesa tu.
Hahahaaaa...........!mngekua wa maana si mngemkamata kipindi kile cha jiwe hajafa, hamjawahi kuwa smart, jitu lilikua linawaanika hadharani eti leo ndio mwenzenu, kwahiyo wewe mzungu kwa thinking hiyo? mna kazi kubwa sana kutoboa
Wewe umetoboa wapi ?mngekua wa maana si mngemkamata kipindi kile cha jiwe hajafa, hamjawahi kuwa smart, jitu lilikua linawaanika hadharani eti leo ndio mwenzenu, kwahiyo wewe mzungu kwa thinking hiyo? mna kazi kubwa sana kutoboa
Aisee....Kigogo ni mwanachama wa CCM na kama ameacha chama basi ni siku za hivi karibuni, Kigogo hajawahi kuwa mpinzani na hatakuja kuwa mpinzani.
Umesema kigogo ni mwana CCM na hajawahi kuwa upinzani hapo upo sahihi kabisa ila watu hawajaelewa,Iko hivi kigogo ni mwanachama wa ccm toka muda ila utawala wa magu ulimfanya kuwa adui haimaanishi aliichukia ccm ila alimchukia mtu aliyekuwa anaiongoza ccm.Karibu Mkuu