Kigoma: Baadhi ya wakazi wagoma kulipa huduma ya maji wakidai ni ya Mungu

Kigoma: Baadhi ya wakazi wagoma kulipa huduma ya maji wakidai ni ya Mungu

Warundi [emoji848] kuna raia wa kigeni wanaishi huko kigoma?
Wali migrate kutoka huko Burundi kukimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe waka settle kg.

Ukienda kule tanga amboni wapo masalia walioletwa kama nguvu kazi kukata mikonge bado wanaitwa warundi hawajabadilika kuwa wasambaa kwa lugha yao ni Kirundi.

40%ya watu Wa kigoma originated Burundi na Congo.
 
Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Kigoma wameripotiwa kugoma kulipia huduma ya maji kwa kile wanachodai kuwa bidhaa hiyo inaletwa na Mungu.

Akizungumza katika mkutano wa nusu mwaka wa Wakala wa Usabazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Kigoma, Meneja wa wakala huo wilayani humo Mhandisi Leo Respicius amesema, tabia hiyo imechangia kupungua kwa mapato yanayotokana na huduma ya maji katika baadhi ya vijiji.

Kufuatia suala hilo, mkuu wa wilaya ya Kigoma, Ester Mahawe ameitaka RUWASA kushirikiana na viongozi wa vijiji wilayani humo, ili kuwaelimisha zaidi Wananchi juu ya umuhimu wa kulipia huduma ya maji.

Baadhi ya vijiji wilayani Kigoma ambapo wakazi wake wengi wametajwa kugoma kulipia huduma ya maji kwa madai kuwa bidhaa hiyo inaletwa na Mungu ni Mkongoro, Kaseke, Nyamoli na Kidahawe.

Mabomba, Pump, yote hayo Nani anagharamia? ILA maji kweli ni ya Mungu “Hapo nakubali”
 
Wasukuma kwa ubishi hawawafikii waha na warundi,hivi unamwonaje zito kabww kajamaa ni kabishi hako.

Mi nimewekeza huko wifi yako no Wa huko,huyu maza ni mbishi balaa,na ukioa huko hapo kwako ndo amefika hawarudigi kwao akishatoka huko,utamuulia hapo kwako.
Vp kuhusu usafi 😁😁😁
 
Wasukuma wapo Tanzania nzima..sijui utaenda wapi nchi hii usiwakute.

#MaendeleoHayanaChama
Haya hapa kwangu yupo Msukuma naishi nae ananisaidia kuchunga ng,ombe anaitwa Malulu,sema jamaa wanapenda utani ni watani Wa kila kabila hapa Tanzania sio wagonvi kabisa.
 
Hakuna cha Elimu wala nini! Hakuna watu wabishi kama wakazi wa Kigoma!!
Akishasema: "Akayeeee magabo, akayeee!! Jua imetoka
 
Haya hapa kwangu yupo Msukuma naishi nae ananisaidia kuchunga ng,ombe anaitwa Malulu,sema jamaa wanapenda utani ni watani Wa kila kabila hapa Tanzania sio wagonvi kabisa.
Wasukuma sio wagomvi..ni watu wa matani sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wasukuma sio wagomvi..ni watu wa matani sana.

#MaendeleoHayanaChama
Wanasemaga makabila yote Tanzania ni watani wao,hata wanaume wasukuma 70%wanaongea ile soprano's voice, hawanaga Bass.

Unakuta jamaa limepanda hewani balaa alafu likubwa ila ajiongea kasauti kembamba eti hiiiiiii bhebhe ndhobho shida,MTU Wa hivi ananzaje kuwa mgonvi?,ila Wa gheita bhana.
 
Hii nchi haiishi vituko. Sasa wanategemea gharama za kuyatibu zinatoka kwa nan kama wasipolipia wao? Ama wawaache wawe wanavuna ayo maji wenyewe na kuyatreat na kuyasambaza kwa gharama zao wenyewe ?
Zinatoka mbinguni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Karibu sana sana
Wanawake wao ni wazuri kinyama hebu cheki huyu malikia wao alivyokuwa chuma,
IMG-20210909-WA0001.jpg
 
Akizungumza katika mkutano wa nusu mwaka wa Wakala wa Usabazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Kigoma, Meneja wa wakala huo wilayani humo Mhandisi Leo Respicius amesema, tabia hiyo imechangia kupungua kwa mapato yanayotokana na huduma ya maji katika baadhi ya vijiji.
Ameshindwa kzi, kwanini asiwakatie huduma
 
Hii nchi haiishi vituko. Sasa wanategemea gharama za kuyatibu zinatoka kwa nan kama wasipolipia wao? Ama wawaache wawe wanavuna ayo maji wenyewe na kuyatreat na kuyasambaza kwa gharama zao wenyewe ?
Kwa kuwa wanalipa kodi basi hii ilitakiwa iwe huduma zaidi kuliko biashara,
Sema maji nayo ni ghalii kweli
 
Back
Top Bottom