Kigoma JF users connect

Jua huku unakuja kukutana na watu wabishi kuliko wote Tz nzima so usishangae .
December ntatia timu huko na machalii nije nihamie kabisaaa....nijiandaeje kisaikolojia labda mkuu kabla cjaja??
 
Enzi hizo kujirusha ilikuwa ni kwa azim premji magorofani ,kwa wale wazee Wa wanzuki na kayoka wanakutana pale "mgatutu"
 
ok mimi siikumbuki kigoma ya magorofa naikumbuka kigoma ile pale stand ya community center ni sehemu tunacheck video na mikutano ya siasa na ya kidini na uwanja wa mpira.
[emoji4] [emoji4] we kama Mimi zile enzi hata ule mwembe toga haujakatwa bado

Enzi zile za mashineni kwa "bidyanguze". Pale sokoni mwanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…