Kigoma: Leo tarehe 19.05.2023, mwenyekiti wa Chadema Tanzania, Freeman Mbowe, atafanya mikutano minne katika jimbo la Muhabwe

Kigoma: Leo tarehe 19.05.2023, mwenyekiti wa Chadema Tanzania, Freeman Mbowe, atafanya mikutano minne katika jimbo la Muhabwe

1684519508104.png
 
Sawa mkuu .. Ila hebu niambie ukweli kwenye hii nchi toka 1992 nyiny chadema mpaka Sasa mmefanya nn ambacho unaweza ukakaa na ukakisemea kwa watu.
Tumekuza demokrasia ya vyama vingi, wananchi wamepata alternative ya chama dola, CDM imeifanya ccm ianze kuwajibika kwa wananchi maana ccm wameshaiona CDM ni serikali in waiting, CDM kimejipambanua kama mwakilishi halali wa poor of the poorest (ccm inajali zaidi royal families)katika kuwapigania maisha bora, sasa mkuu niambie ccm imeifanyia nini nchi yangu kwa muda wa miaka 60 ya kututawala sio kutuongoza
 
Tumekuza demokrasia ya vyama vingi, wananchi wamepata alternative ya chama dola, CDM imeifanya ccm ianze kuwajibika kwa wananchi maana ccm wameshaiona CDM ni serikali in waiting, CDM kimejipambanua kama mwakilishi halali wa poor of the poorest (ccm inajali zaidi royal families)katika kuwapigania maisha bora, sasa mkuu niambie ccm imeifanyia nini nchi yangu kwa muda wa miaka 60 ya kututawala sio kutuongoza
Hakuna muundombinu wwote...nahs hlo swali nikiwauliza ACT watanipa majibu mazuri zaidi... mkuu sawa Ila sjaridhika na majibu yako.
 
Hakuna muundombinu wwote...nahs hlo swali nikiwauliza ACT watanipa majibu mazuri zaidi... mkuu sawa Ila sjaridhika na majibu yako.
Muundombinu gani unaoutaka ?,CDM hawakusanyi kodi ,jibu swali langu ccm mmeifanyia nini nchi hii,?mnakula tu pie ya taifa kwa wateule wachache, Elimu mmeua ila watoto wenu (royal families)wanasoma canada, uk, usa, uct
 
Muundombinu gani unaoutaka ?,CDM hawakusanyi kodi ,jibu swali langu ccm mmeifanyia nini nchi hii,?mnakula tu pie ya taifa kwa wateule wachache, Elimu mmeua ila watoto wenu (royal families)wanasoma canada, uk, usa, uct
Akikujibu niko pale nimekaa
 
Muundombinu gani unaoutaka ?,CDM hawakusanyi kodi ,jibu swali langu ccm mmeifanyia nini nchi hii,?mnakula tu pie ya taifa kwa wateule wachache, Elimu mmeua ila watoto wenu (royal families)wanasoma canada, uk, usa, uct
Kwani watoto wa makam Mwenyekiti wako wanasoma wapi? Hizi barabara zinazo unganisha mikoa na wilaya mlijenga nyie makamanda? Hizi shule za kata mlijenga nyie makamanda kwanza kwenye ujenzi nyny hamna experience kwasabu mpaka Sasa hamna ofs,
 
Ngoja hilo lichopa lianguke kama la William Silaha na wenzake!
 
Chama toka 1992 hakina legacy yyte sjui kama hata ofs yenu kule ufipa Kama ina tiles maana choo chenyewa toka nyumba inapojengwa no repairment
Kupanga ni kuchagua badala uzungumzie jinsi kinavosumbua ccm yenye jeshi na hadi kuua watu
 
Sawa mkuu .. Ila hebu niambie ukweli kwenye hii nchi toka 1992 nyiny chadema mpaka Sasa mmefanya nn ambacho unaweza ukakaa na ukakisemea kwa watu.
Kila leo CHADEMA inavuna makundi ya watu mbalimbali kutoka mikoa tofauti nchi nzima,kutoka kwenye chama cha wasomi na kuwa chama cha Watanzania wote.
 
Back
Top Bottom