Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
Nakubali mzeeHalafu tuwekee na idadi ya watu waliochangia hayo mapato kwa kila manispaa ili tuone uwiano.
Sio watu milioni 1 wamechangia 4B halafu watu laki 2 wakachangia 1B ikaonekana hawa wa 4B wamezalisha nyingi kuliko hao wa 1B.
Sumbawanga umemuachia nani?
Njombe ni Town CouncilKumbe Njombe sio manispaa? Sikua najua hili, Lol
wako wapWenyewee
😃😃Umetuletea stakistaki badala ya statistics.
Tofauti ya town na manispaa ni niniNjombe ni Town Council
kukosa watu ni failure kwa mkoaHalafu tuwekee na idadi ya watu waliochangia hayo mapato kwa kila manispaa ili tuone uwiano.
Sio watu milioni 1 wamechangia 4B halafu watu laki 2 wakachangia 1B ikaonekana hawa wa 4B wamezalisha nyingi kuliko hao wa 1B.