Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Sisi watumishi wa sekta ya umma na binafsi tunaofanyaia kazi Mkoani Kigoma tunaishi kwa mabavu, wenyeji wanatupiga vita sana.
Wenyeji wa huku wana roho chafu na ya kupinga maendeleo ya wengine Kuanzia Maofisini Hadi mitaani.
Kama wewe ni mwenyeji wa mkoa mwingine na unafanyia kazi hapa au uliwahi kufanya kazi Mkoani Kigoma Nina uhakika utakubaliana na mimi.
Huku ni mwendo wa uzushi na majungu tu.
Jamii ya kiduwanzi sana hii
Wenyeji wa huku wana roho chafu na ya kupinga maendeleo ya wengine Kuanzia Maofisini Hadi mitaani.
Kama wewe ni mwenyeji wa mkoa mwingine na unafanyia kazi hapa au uliwahi kufanya kazi Mkoani Kigoma Nina uhakika utakubaliana na mimi.
Huku ni mwendo wa uzushi na majungu tu.
Jamii ya kiduwanzi sana hii