Kigoma: Watu 6 wa familia moja wauawa kikatili usiku wa kuamkia Julai 3

Kigoma: Watu 6 wa familia moja wauawa kikatili usiku wa kuamkia Julai 3

sawa, lakini bado Mkoa wa Kigoma una changamoto za wahamiaji haramu wanao ishi kiholela kitu ambacho ni tishio la usalama wa Mkoa wa kigoma na Tanzania kwa ujumla.
tusisubiri kutu kitokee ndipo tuchukue hatua, vyombo vyetu vinapaswa kuchukua hatua mapema ya kusfisha wahalifu wote.
Too late,wameshatoboa hadi kwenye Taasisi nyeti, na hadi kwenye Umakamu wa Raisi.

Tumeshaukalia tusubiri tupigwe Mimba tu.
 
wamchunguze huyo jamaa uraia na asili yake
sawa, lakini bado Mkoa wa Kigoma una changamoto za wahamiaji haramu wanao ishi kiholela kitu ambacho ni tishio la usalama wa Mkoa wa kigoma
 
Back
Top Bottom