Kigoma: Watu 6 wa familia moja wauawa kikatili usiku wa kuamkia Julai 3

Too late,wameshatoboa hadi kwenye Taasisi nyeti, na hadi kwenye Umakamu wa Raisi.

Tumeshaukalia tusubiri tupigwe Mimba tu.
 
wamchunguze huyo jamaa uraia na asili yake
sawa, lakini bado Mkoa wa Kigoma una changamoto za wahamiaji haramu wanao ishi kiholela kitu ambacho ni tishio la usalama wa Mkoa wa kigoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…