Kigoma yazizima kwa furaha baada ya kutoa kiongozi mkubwa nchini

Wakawaulize wakenya obama alipokuwa rais wa marekani aliwasaidia nini japo walishangilia kama majuha wakiongozwa na MK254
 
Wakawaulize wakenya obama alipokuwa rais wa marekani aliwasaidia nini japo walishangilia kama majuha wakiongozwa na MK254

Mbona Chato leo vitu vimetamalaki, uwanja wa kimataifa, mbuga na mambo mengine mengi, kuna kautamu fulani Afrika tumeahajiwekea pale kiongizi ametokea kwenu.
Watu wa Butiama lazima hulaumu sana kwanini Nyerere alilala hakuelekeza home.
Waulize wa Msoga pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…