Kigwangala usilete mgogoro Simba, lazima tuwaamini uongozi uliopo

You are on the [emoji383] ..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Sisemi More amemteua ..au amemuweka.. ila ushawishi mkubwa alionao ndani ya Simba..umechangia.. that's all.
Plus the tweet ya huyo dada .. ya kumuonya Kigwa juu ya utupaji ndoano kule DM.. ilikuwa haina direct link na Tweet ya mo.. the only link could be..


Huyo dada aliyetweet.."Huenda" anajua kigwa keshatupa ndoano kwa CEO na huku Mudi naye keshajiweka.. huu mlipuko una mengi.

[emoji881][emoji881][emoji16][emoji1241]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ndipo hapo napowakubali Wadosi. Nasikia Mdosi kamjibu na kmtaka radhi kwa kutotekeleza ombi la kuombwa pikipiki. Hah hah hah!
 
Bahati mbaya Sima haipo kwenhye uliumwengu wa sasa.
 
Simba haina uongozi baada ya "NKWABI" mwenyekiti aliyeteuliwa na wanachama kusukumwa nje alipohoji maslahi halali ya Simba! Sasa kuna njaa kali Kaduguda hasemi chochote zaidi ya "ndiyo" boss Mo!
Hivi unaposema maslahi ya Simba ni yapi ambayo yanahojiwa yaliokua yanatakiwa yapatikane kwenye uwekezaji huu?.
Maana mi naona ni mjinga tu ambaye atasema haipati maslahi yake kwenye uwekezaji huu. Ndani ya uwekezaji huu Simba imechukua ubingwa Mara tatu mfululizo. Simba imejenga viwanja vyake vya mazoezi, Simba inauwezo wa kusajili na kuwalipa Wachezaji bila shida. Sasa maslahi gani Simba inayakosa?
 
Hii pisi ya Mudi itasababisha itayakana haya maneno yako.
 
Maslahi ya Taasisi ni yapi na maslahi ya mudi ni yapi?
 
Reactions: Tui
Kikubwa tuangalie performance ya timu tokea mo achukue timu. Hoja nyingine ziendelee kujadiliwa angali gurudumu linasonga. Nyie watu mlioajiriwa msichukulie Mambo poa sana, hamjawahi ht kuendesha kikampuni mnadaka mwisho wa mwezi maisha yanasonga. Kuendesha timu ni gharama sana
 
Bora hata Libwata la Simba kuliko la walilopewa Utopolo? Utopolo waliingia mkataba wa kutengeneza jezi na GSM lakini GSM amekiuka mkataba hajatengeneza jezi za msimu hakuna anayehoji,? Sasa hapo huoini kua mmeshikwa vibaya
 
Reactions: Tui
Binafsi sipendi migogoro ktk hivi vilabu. Pia siwapendi watu wenye kuchochea migogoro. Lakini hawa wafanyabiashara wajaribu kuwa smart ktk decisions zao ili kuondoa sintofahamu za dhahili kama hili la kujadili mtu mwenye mlengo/mahusiano na board members. Inaweza kuleta mgogoro wa maslahi iwe kwa makusudi au hata bila kukusudia
 
Mbona Engineer wenu feki hamulalamiki?Yupo kwenye kamati ya mashindano kama kiongozi wa Utopolo na pia ni mwajiriwa wa GSM?Analinda maslahi ya nani?Umeona akisema Yanga imesajili au huwa anasema GSM tumesajili na Yanga watalipa mshahara??
Au uweledi na madai ya kijinga ya conflict of interest hayawahusu?
Mwenyekiti wenu aliajiriwa na nani?
Hivi mna viongozi na GSM kwenye mfumo upi?
Kweli mna hadhi ya kuhoji?
Jezi za msimu mpya zimefika au matatizo ya usafiri wa ndege kwa sababu ya Corona?
Mnathubutu kuuliza??
 
Mwenyekiti wa Simba,tunaomba mtu huyu adhibitiwe.
Ikibidi asimamishwe uanachama kwa sababu nia yake si nzuri kwa timu.
Na ninaamini atakuwa anatumika na upande wa pili.Aendelee kuwa waziri wa Simba mwitu atuachie Simba yetu.
Tabia kama hizi zinaweza kuigawa club na kuwafanya adui zetu wavune ushindi na kutuvurugia timu.

Kwanza kwa taarifa zisizo rasmi inaonekana ana mgogoro binafsi na Mo.Huyu jamaa ni dhaifu sana,sijui huo uwaziri anaumudu kivipi.
 
Reactions: Tui
Dharaurini hoja za Kigwangala ila ipo siku na ninyi mtakuja kutembeza bakuli uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…