Kigwangala usilete mgogoro Simba, lazima tuwaamini uongozi uliopo

Utakua popoma Kama huoni mchango was GSM na Mo kwenye mpira wa Tanzania, wewe unadhani ule umati wa Siku ya mwananchi umekuja kumwangalia kibwana makapu na boxer?
 
Yaani ni akili ya kawaida kabisa hii, sijui wanafeli wapi hawa viumbe.
 
Huyo Kingwangala si alikuwepo kwenye mkutano wa mabadiliko ya katiba na uwekezaji?
Alitoa maoni yake?
Personal vendetta zisimfanye sasa ajidai ni mtetezi wa maslahi ya Simba .Yeye ameisaidia nini Simba?
Au mkopo umeleta nongwa?
Atofautishe biashara na mambo yanayohusu Simba.
 
Dharaurini hoja za Kigwangala ila ipo siku na ninyi mtakuja kutembeza bakuli uwanjani.
Ziweke hapo hizo hoja. Unafuata mkumbo au nyumba ya jirani kwa mwarabu koko?
 
Utakua popoma Kama huoni mchango was GSM na Mo kwenye mpira wa Tanzania, wewe unadhani ule umati wa Siku ya mwananchi umekuja kumwangalia kibwana makapu na boxer?
It's football ..not war.. relax and have fun Chief.

Hata hivyo mie sijapinga mafanikio.. au wewe umeitoa wapi hii notion ya mimi kutokuuona mchango wao!?

Wewe mchango wa Senzo uliuona!? Was there a need to replace him ikiwa timu ilikuwa inafanya vizuri!? With absolute certainty, unaweza kusema CEO mpya ana sifa za ubora kuliko Senzo!?

Tumezoea shamrashamra kwenye habari kubwa Kama hizi ndani ya klabu.. hints, tambo (ukizingatia anakuwa CEO wa kwanza Mwanamama) why this is so gloomy!?

Huu mpira wa Yanga na Simba unakazi nyingine nyingi kuliko kuleta burudani Uwanjani tu.. na watu wakihoji sio hawapendi..hapana... ukianza kuwakandia huo sio ushabiki unakuwa ni uzwazwa.. utashabikiaje to the point huoni flaws tena!! Ndugu yangu!!

Sote tunaitakia Simba mema.. na tunapohoji lengo letu ni kuboresha. Tujadiliane tuondoane sintofahamu.. sio kuwekana lebo kisa mtu kahoji. It's not the Simba way.

Simba & Yanga day zitakuwa more fun siku tukiwa tunakipiga fainali za Champion League.. Tunaenda klabu Bingwa ya Dunia.. maana kufungana sisi haipaswi kuwa lengo pekee kuu.. tutoke nje ya hiyo bubble.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hoja ya kingwa ya msingi but ajatoa mbadala,

Alitakiwa aseme wakurugenzi wote wajiuzulu na more atoke then timu itoe Namba za wanainchi kuchangia
Nadhani hujazielewa hoja zake

Anachohoji yeye ni kua inakuaje mo hajalipa 20b ambazo ndo zinazomfanya awe na uhalali wa 49% ya hisa na tayari ashakua mkurugenzi na anafanya maamuzi inawezekanaje?
 
Kumbuka Kaduguda ndiyo anayeshikilia record ya kuongoza Simba iliyotwaa ubingwa bila kupoteza hata mechi moja.
Kaduguda amechaguliwa na nani? Kweni kuna mkutano mkuu uloitwa?
 
Nadhani hujazielewa hoja zake

Anachohoji yeye ni kua inakuaje mo hajalipa 20b ambazo ndo zinazomfanya awe na uhalali wa 49% ya hisa na tayari ashakua mkurugenzi na anafanya maamuzi inawezekanaje?

Mbona maamuz ya uwanja aja hoji?
Mbona usajiri na mishahara hajaoji?
 
Eng. Feki kivipi? Una taarifa na vyeti vyake?
Katiba ya Yanga haikatazi mjumbe wa kamati kuwa mwajiriwa.
Kuwa serious mwenyekiti anaajiriwa? Mwenyekiti kwa katiba ya Yanga bado anachaguliwa.
Gsm ana tenda ya kuipatia Yanga jezi na pia ni mzamini.
Jezi zimechelewa ndio sasa unataka tufanyaje ? Tugome? Au tuandamane? sababu hata zikichelewa na kuwahi bado wajibu wa shabiki unabaki palepale ni kununua tu.
 
Mudy kamuonga timu mchepuko

Anatokea.mtu anahoji kuhusu mgongano wa kimaslahi baina ya uyo CEO na Mo anatokea mbumbumbu anapaayuka
 
Mudy kamuonga timu mchepuko

Anatokea.mtu anahoji kuhusu mgongano wa kimaslahi baina ya uyo CEO na Mo anatokea mbumbumbu anapaayuka
Hahaha! Halafu Kigwa kamaindi hahaha


Haka.ndio watu hawataki kuamini.. kwamba Simba inaweza kuwa hongo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji881]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Thamani ya binadamu ni kujitambua.
 
Marina CEO wa Chelsea alikuwa PA wa Abromovich mbona hakuna conflict of interest. Hata CEO aliteuliwa na Kigwa kea pesa aliyonayo Mo akiamua apewe upendeleo atapewa tu
Akili kisoda.. sasa hapo kuna shida?? Maana hiyo chelsea inamilikiwa na Abramovic lkn simba inamilikiwa na MO hata amlete PA wake?
 
Kigwangala na wengineo wote ni wakupuuza kwa sasa....kwani timu inamafanikio chini ya Mo....tukiona hakueleweki huko mbele tutajua tu haina haja ya kuelezwa na Kigwangala anatafuta Kiki za kisiasa kwa sasa na makasiriko mengine ya kukosa mkopo wa Pikipiki...wengine ni either wanafaidika timu ikikosa udhamini au wanahisi Mo anamake sana kutoka simba so ni kawivu flani hivi...ni wakupuuzwa wote hao until further notice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…