Sometimes nadhani Hawa wakezaji wanna mambo yao tu na sio kukuza mpira kama tunavyodhani...
Hapa alipofika ni mbali Sana ...bwana mudi.. in short simba ishakuwa kakitu kake ka kupotezea muda na kumkeep busy.. Sasa akipewa hadidu nzito nzito anaona sio starehe tena Ni karaha .. kwa namna hii anakuwa na control ya hadidu..
[emoji16][emoji16][emoji16]Halafu mudi asivyokuwa muongo mzuri.. hata kabla hajaulizwa kashakana ..hajamchagua yeye..Ni Kikao kizuri ndio kimefanya yake[emoji16][emoji16]
Na taarifa hajatoa afisa habari katoa yeye.. [emoji16][emoji16][emoji16] mudi anatuona mandezi Sana.
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app