Wewe ni mtu mjinga sana mm nisiijue udart ilipoanza ikiwa nilifanya kazi na STRABAG??
Kuanzia mwanzo mpaka utekeleza nilikuwa nafahamu na hata design kutakiwa kubadilishiwa sababu ya hoja kwa nn kituo kiwe katika na sio pembeni.
Pia huko ilipoanzia ilikuwa hovyo kuliko Sasa ndio maana mapato yake kwa mwaka huu 2021/2022 yameongezeka kwa 50% kutoka bil 25 hadi bil 36. Kama Sasa hivi ingekua ipo vibaya mapato yangepungua na sio kuongezeka sana.
Mwisho sababu ya mradi huu kupewa waarabu wa UAE mwezi huu sio sababu za kimapato, Bali ni sera za serikali
Taarifa ya mapato kuongezeka nakuwekea hapa[emoji116]
View attachment 2354420