BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 1,048
- 1,424
wachangiaje mnaochangia mnashindwa kutofautisha UDART na DART ivi ni vitu viwili tofauti vinavyofanya kazi kwenye mwendokasi
DART ni dar es salaam rapid transit agency wakala wa serikali wa mabasi yaendayo haraka kama ilivyo wakala temesa, tanesco ,tarura na nk
UDART ni usafiri dar es salaam rapid transit ni public company inayotoa huduma za mabasi kwenye barabara za mwendokasi na inapewa mkataba na dart hii kampuni sasa ni ya serikali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
DART ni dar es salaam rapid transit agency wakala wa serikali wa mabasi yaendayo haraka kama ilivyo wakala temesa, tanesco ,tarura na nk
UDART ni usafiri dar es salaam rapid transit ni public company inayotoa huduma za mabasi kwenye barabara za mwendokasi na inapewa mkataba na dart hii kampuni sasa ni ya serikali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app