mtoa mada kwanza rekebisha kichwa cha habari sio UDART ni DART
udart ni kampuni tu iliyopewa tenda na dart kwaajili ya kutoa huduma za mabasi kwenye mradi wa mabasi yaendayo haraka na inamilikiwa na msajili wa hazina kwa asilimia 85 na simon group 15
DART ni wakala wa serikali wa mabasi yaendayo haraka ndio wamiliki wa mwendokasi yenyewe kwa niaba ya serikali
swali la kujiuliza je hazina ambayo ndio wamili wa udart na ambao ndio wanawajibika kulipa deni la word bank la mwendokasi wanaweza kujitoa halafu DART wakampa mtoa huduma mwingne?
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app