hivi unajua maxcom aliondolewa mwaka gani hata unasema mwaka jana mapato yameongezeka? Kama yameongezeka kwa nini uendeshaji apewa mtu mwingine ikiwa msingi wa uhai wa dart ni mapato?Max malipo alikuwa hakusanyi mapato unapaswa kulijua hilo kwanza, max malipo walikua naa mfumo unaotumiwa tu na dart kukusanya pesa. Ni sawa na useme SELCOM wanakusanya mapato.
Hata hivyo baada ya max malipo mbona mapato mwaka Jana na mwaka huu yameongezeka?
We jamaa unavituko sana mapato yameongezeka lakin lakin project imewashinda udart kuendesha mpaka serekali inatafuta mwekezajiMax malipo alikuwa hakusanyi mapato unapaswa kulijua hilo kwanza, max malipo walikua naa mfumo unaotumiwa tu na dart kukusanya pesa. Ni sawa na useme SELCOM wanakusanya mapato.
Hata hivyo baada ya max malipo mbona mapato mwaka Jana na mwaka huu yameongezeka?
Huyo hajui anachoongeahivi unajua maxcom aliondolewa mwaka gani hata unasema mwaka jana mapato yameongezeka? Kama yameongezeka kwa nini uendeshaji apewa mtu mwingine ikiwa msingi wa uhai wa dart ni mapato?
Kama udart inaendeshwa hivi, ndege je?Kigwa hajakosea! Sijui kwanini kuna watu wanajiona wao tu ndio wenye haki ya kuibua na kujadili mambo kama haya. UDART ni moja ya taasisi ambazo zina sarakasi ambazo zinatutia aibu sana.
Kama tumeshindwa kuliko kuwapa watu wa nje si bora tuwape akina Bakhersa ili uwekezaji wao na faida ibakie ndani?
Alafu kushindwa kuendesha biashara ya daladala kweli? Wala haihitaji complex economic matrix! Ni watu wanataka kuiba hadi matairi alafu wavute mamikopo huko nje watambae! [emoji22]
Uongo mkubwa sana, Kama mfumo ni mbovu mapato mbona yameongezeka sana mwaka jaana na mwaka huu?Mfumo wa tiketi uliopo ni mbovu ni rahisi sana mtu kuiba tofauti na kipindi kile Cha max malipo na ni moja ya kiini Cha tatizo
Narudia tena kumuelewesha, max malipo hakusanyi mapato. Ilo naona pengine bado huelewi.hivi unajua maxcom aliondolewa mwaka gani hata unasema mwaka jana mapato yameongezeka? Kama yameongezeka kwa nini uendeshaji apewa mtu mwingine ikiwa msingi wa uhai wa dart ni mapato?
Moja ya kitu ambacho kipo jf ni tabia ya mtu kubisha pasipokuwa na sababu.We jamaa unavituko sana mapato yameongezeka lakin lakin project imewashinda udart kuendesha mpaka serekali inatafuta mwekezaji
hebu rudia kusoma ulichoandika, kisha jiulize unapinga nini na unasupport niniMax malipo alikuwa na mfumo wa ticket ambao unatumiwa kukusanya mapato na Udart, Kama ambavyo taasisi zingine Kama tanesco wanaotumia selcom.
Umemjibu vyema kabisa huyu nyumbu.Una akili ndogo sana, kinachoiua mwendokasi sio suala la ukataji ticket Wala mapato, kwanza mapato yameongezeka tofauti na alivyokuwepo Magufuli.
Mfano kivuko Cha kigamboni nacho kimefeli je Ni sababu ya ticket? Tena Sasa hivi karibuni walikuja na mfumo wa kadi Ila bado kimefeli, unajua sababu ni nn?
Wewe una matatizo makubwa ya akili. Wanaotemgeneza ticket za mabasi ndio wanayokusanya mapato au wamiliki wa mabasi ndio wanayokusanya mapato? Pale dirishani u apotoa pesa unampa Max malipo au unampa Dart? Kipi huelewi hapo?hebu rudia kusoma ulichoandika, kisha jiulize unapinga nini na unasupport nini
huna haja ya kutukana.Wewe una matatizo makubwa ya akili. Wanaotemgeneza ticket za mabasi ndio wanayokusanya mapato au wamiliki wa mabasi ndio wanayokusanya mapato? Pale dirishani u apotoa pesa unampa Max malipo au unampa Dart? Kipi huelewi hapo?
Dart hawana mfumo wa kutengeneza ticket, Kama ilivyo kwa watu wa mabasi hawawezi kutengeneza ticket, ticket hutengenezwa na watu wengine.
Mfano mwingine kwako wewe mjinga mkubwa. Unapolipa nauli kwenye daladala pesa inakusanywa na kondakta au na waliotengeneza ticketi?
Humu kuna wajinga wengi sana, wanalaumu Max malipo kuondolewa kwenye ticket Ila hapohapo mapato ya mwendokasi kwa mwaka huu yameongezeka maradufu tofauti na wakati wa Magufuli.Umemjibu vyema kabisa huyu nyumbu.
Kama nakumbuka vzr Magu alimtuma site Majaliwa mara mbili mbili kufosi uanze baada ya kuona kuna upigaji unataka kufanyika. Yaani kila kitu kilikuepo watu wakawa wanaleta danadana kuanza kazi. Watu pia wanasahau kua miundombinu ni mkopo wa WB kama sikosei. Hivyo kuwapa wageni wa-run mradi ambao miundombinu ni yetu tena ya mkopo, nikama kusema hawa jamaa tumewafyekea pori, tumesawazisha shamba, tumewapandia mbegu na sasa eti tunawaita watusaidie kuvuna. Upuz wa hali ya juu huu.
kushabikia mtu anayefafanua jambo akiwa anatukana ni dalili ya kuwa una either tatizo la akili au saikolojia. tafuta tibaHumu kuna wajinga wengi sana, wanalaumu Max malipo kuondolewa kwenye ticket Ila hapohapo mapato ya mwendokasi kwa mwaka huu yameongezeka maradufu tofauti na wakati wa Magufuli.
Tatizo halipo kwenye ticket na ndio maana mapato yameongezeka sana. Kwa Sasa sera ya serikali ni kuruhusu wawekezaji kuendesha biashara zote na ndio maana UAE wamepewa hiyo kazi kwenye mwendokasi
Wewe ni mtu mjinga sana mm nisiijue udart ilipoanza ikiwa nilifanya kazi na STRABAG??huna haja ya kutukana. nadhani hujui udart ilikotoka. unavyoiona leo sivyo livyokuwa ilipoanza.
nikusaidie tu kuwa kutukana unapofafanua jambo is a sign of serious mental issue. tafuta msaada
huwa sipendi kujibizana na watukanaji as I know mtukanaji ye yote ni mtu mwenye shida ya akili na au saikolojia. uwe na siku njemaWewe ni mtu mjinga sana mm nisiijue udart ilipoanza ikiwa nilifanya kazi na STRABAG??
Kuanzia mwanzo mpaka utekeleza nilikuwa nafahamu na hata design kutakiwa kubadilishiwa sababu ya hoja kwa nn kituo kiwe katika na sio pembeni.
Pia huko ilipoanzia ilikuwa hovyo kuliko Sasa ndio maana mapato yake kwa mwaka huu 2021/2022 yameongezeka kwa 50% kutoka bil 25 hadi bil 36. Kama Sasa hivi ingekua ipo vibaya mapato yangepungua na sio kuongezeka sana.
Mwisho sababu ya mradi huu kupewa waarabu wa UAE mwezi huu sio sababu za kimapato, Bali ni sera za serikali
Taarifa ya mapato kuongezeka nakuwekea hapa[emoji116]View attachment 2354420
Wewe ni mjinga na hiyo sifa lazima nikupe. Ukiwa hufahamu kitu usipende kukizungumzia.huwa sipendi kujibizana na watukanaji as I know mtukanaji ye yote ni mtu mwenye shida ya akili na au saikolojia. uwe na siku njema
ni aibu kwa kweli!yuko sahihi, why tumeshindwa kuongoza mpaka tuwape kampuni ya nje??why tusimpe moh, bakharesa na watz wengine??lkn je wataweza kufanya kazi hyo ktk weledi???Udart kushindwa kuendesha mwendokasi sio suala la kushangaa ni unafki Sana kushangaa kama wameshindwa.
Kingwangalla kama walivyo watanzania wengi anasumbuliwa na unafki pale wanaposhangaa kuona udart wameshindwa mwendokasi.
Yani unajenga barabara unamuita Mchina aje kuweka mabus abebe faidaa.. Sasa kati ya ujenzi wa zile barabara na Magari kipi kina Gharama? Kama urasimu ni mwingi why watu hawawajibishwi wakiiba? NCHI inadumaa kisa kuogopana na kuchekeana.
Mfano wale waliyokua wanahujumu kivuko Cha magogoni na kigambon kabla hajapewa bakharesa wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu
Kuna miaka itakuja tutamani kutawaliwa na wazungu voluntary kwa ridhaa yetu sababu ni kama Somo la management limetushinda sis waafrika na hii inamprove wright botha katika ile speech yake aliyoitoa.
Hamna cha maana alichokuwa akifanya Max Malipo zaidi ya kupiga hela, hizo kadi za Max Malipo zilitumika kwa mda gani?Aliyeuwa mwendokasi ni Magufuli na alifanya haya kigwangala akiwa Waziri. Alikuwa wapi kusema haya?
Mwendokasi ilianza vizuri chini ya kampuni ya Maxmalipo na kulikuwa na ticket za kadi unalipia na kutumia wiki nzima na mapato yalikuwa yapo vizuri sana
Akaja magufuli akaondoa ile kampuni na kuleta ushamba wake eti akaweka wanajeshi na kukawa kuna kukata ticket kama daladala ndo mwisho wake mwendokasi imekuwa hivi. Wakata ticket wanajenga nyumba huku mradi unakufa watu wanajazwa kama kuku kwenye magari
Kigwangala angeongea kipindi kile wakati magufuli alivyokuwa anaua mwendokasi sio kuleta ujinga saivi
Ulifanya Pen test ya huo mfumo wa Max malipo na wa sasa.Mfumo wa tiketi uliopo ni mbovu ni rahisi sana mtu kuiba tofauti na kipindi kile Cha max malipo na ni moja ya kiini Cha tatizo