Hataka ni kuwaishiwa 40% zao ni kituko cha mwaka unawahisha mabehewa bila kuwa na reli yenyewe .Kila kinachoendelea hapa nchini ambacho Hayati JPM alikisimamia vyema sasa kina mauzauza na harufu za upigaji.
Kwa nini kununua mabehewa used? Kuna haraka gani ili hali mradi unasuasua kumalizika?
Mradi wa JNHP ndiyo una mauza uza kabisa na kuna dalili na ushahidi wa kimazingira kuwa kuna mikakati usimalizike kwa wakati ili mgao wa umeme uwanufaishe wahuni wa CCM.
Tanzania inanunua used? Why? Mitumba?
View attachment 2436849