dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
BagaileKigwangala yupi ety??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BagaileKigwangala yupi ety??
Kingwa hajapata huu mgawo wa hizi pesa roho inamuuma kweli kweli, Tanzania ni nchi ya hovyo sana ntakuja kutembea tu ila sio kuishi.
Mabehewa si yalikuja yamefungwa kwenyw makaratasi kama mikate ...
Sent using Jamii Forums mobile app
sheria si wanapitisha wao sasa anamhoji nani?Awaulize watu wa manunuzi wamwambie kama sheria inaruhusu au hairuhusu.na kuhusu bei akahoji bungeni ndo platform pekee kwake ya kupata majibu ya maswali yake vinginevyo anatubore tu.Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used”
Amesema “Hili behewa moja (tena used) limenunuliwa kwa sh ngapi? Tumeambiwa yapo haya mabehewa 54, yamenunuliwa kwa us$ 59mn. Kwa hiyo behewa moja ...
Yule mrundi Saidi Nasoro BagaileKigwangala yupi ety??
utakuwa hujui mambo ya zamani wewe,unaambiwa mwanao hajachaguliwa imeisha hiyoNadhani sijakuelewa kwenye pragraph ya pili kuanzia sentensi ya pili, nilivyokusoma na kukuelewa ni kama umemaanisha huyo mama wa Bagaille aliyekuwa afisa elimu alimpa barua mwanae aende shule, lakini Kigwangallah akaichukua kwa kutumia jina la mwingine....
linapofika suala la kuonyesha uzalendo ktk masuala yanoyohusu maslahi ya taifa, wanasiasa wa sisiemu sio wa kuwaamini hata kidogo
Hajapata mgawo🤣Kaziita Sobibor kabisa?
The name is very offensive for those who understand what Sobibor is.Hajapata mgawo[emoji1787]
Ngoja nichukue dictionaryThe name is very offensive for those who understand what Sobibor is.
My after thought ilikuwa hio hio tu, treni iletwe ya kisasa zaidiView attachment 2437590
View attachment 2437591
Akiendelea kuzungumzia sakata la Shirika la Reli Nchini, TRC kununua mabehewa "Used" ya Mradi wa SGR, Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamisi...