Kigwangalla: Kwanini Serikali imenunua mabehewa ya SGR yaliyotumika (used)?

Kigwangalla: Kwanini Serikali imenunua mabehewa ya SGR yaliyotumika (used)?

Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa
WAISIHARAMU WAKIPATA UONGOZI SIYO WAZALENDO HATA KIDOGO ......TATIZO TULILONALO KWA SASA NI VIONGOZI WAISIHARAMU WAO WANAWAZA KUSUJUDIA MABEBERU TU NA KUJANUFAISHA . kama hapo tayari mabeberu wamesha punguza uchafu wa vyuma chakavu na mabehewa yaliyo kosa soko na kupitwa na wakati kwenye nchi zao ambayo wana tafuta usiku na mchana wapumbavu wa kuyanunua sasa wamempata muisiharamu samia wamemuuzia hizo skrepa kwabei kubwa sawa na mabehewa mapya
 
Akipewa uteuzi ataanza kusiifia.

CCM hawana uchungu na hii nchi na watu wake.

Ufisadi ni jadi ya CCM na wanalindana kwelikweli.

Mama anaweza kukaa kimya kama hajui kinachoendelea.

Usikute watu wameshaanza kutafuta fedha za uchaguzi ujao.
Mimi kwa uchunguzi wangu nimegundua tatizo kubwa kwa ccm ni genge la WAISIHARAMU NDIYO WASIO NA CHEMBE YA UZALENDO ...TENA KWAO UZALENDO NI MAVII ... Mtu yoyote akifanya uchunguzi atagundua hili ninalosema wazi wazi .
 
Yalikuwa yanatakiwa yazungumziwe ndani ya mjengo; huku nje, ni kelele tu
KIPINDI CHA MAGUFULI CHADEMA WANGE LAANI NA KUSEMA MAGUFULI KAVUNJA SHERIA YA MANUNUZI YA SERIKALI INAVYO ZUIA KUNUNUA VITU VYA MITUMBA ...ila kwa sasa wahuni wa chadema wapo kimya...tena mngemsikia yule ng'ombe general ulimwengu na kashifa zake kwa JPM ila kwa samia wapo kimya.
 
Huyo ni mwizi na mnafiki. Kwanza Baba yake siyo Kigwangala bali ni Bagalile. Aliiba jina la Hamus Kigwangalaaliyekuwaamechaguliwa kwenda kysoma Kigoma.

Kwenye maelezo yake hapo,ameruka ruka, na hasemi kuwa alisoma pale Kitongo, yeye akitumia jina la Hamis Bagalile, na classmate wake aliitwa Hamis Kigwangala. Huyu Bagalile,Mama yake kwa kuwaalikuwa pale ofusu ya Elimu Nzega, alimpa barua ya kujiunga sekondari mwanae, na Kigwangala akidangantwa kuwa barua yake haijapokelewa hapo wilayani.

Baada ya kumaliza Form 6, tulimwajiri pale mgodi wa Lisu, kwenye kampuni ya Moolman Brithers, tukamqeka store. Akaiba baruti, tukamweka ndani,baadaye tuliamua kumwachia na kumfukuza kazi.

Ni mtu mwenye asili ya tamaa na uovu.
Kwa hiyo ni mrundi kama tujuavyo wana Nzega?
 
Yani awamu hii tumekosa mtu kama Dr slaa au kafukulila, au zitto kabwe pale bungeni pangewaka moto yani pangechimbikanl zaidi ya richmond inaonekana Kuna mambo mengi sana nyuma ya pazia yani Kuna upigaji mwingi sana sema tumekosa mtu wakutupa data upinzani wa Sasa umepoa hakuna vijana wakufukunyua fukunyua data na kuja nazo, wandishi nao hivyo hivyo udadisi mdogo

JF nao mtu akija na nondo zake hapa mod watafuta
Yupo Mpina
 
Hayo mabehewa yaliyokuwa obsolete kwa mabeberu ndo myanunue kwa bilioni 2 na ushee.........hiyo pesa kampuni kama marcopolo inakutengenezea behewa la grade ya juu kabisa, achilia mbali Yutong ambaye anawezea kukutolea kitu quality kwa nusu bei, kwa kweli huu upigaji umekuwa too much...
 
Eti watahutubia diaspora! Hii inasaidia nini?

Mbona wanaCCM wanauchungu na taifa lao?
Screenshot_20221204-211659.jpg
 
Upinzani wa CCM sio kawaida yao, ni kama upepo tu, wana tabia ya kumtazama kwanza mwenyekiti wao wajue anachotaka ndio nao wafanye, lakini kinyume na hapo hakuna upinzani ndani ya CCM.

Akili zao zimeshikiliwa na mwenyekiti wao, yeye ndie anaamua waseme au kufanya kitu gani, kwa ufupi mwenyekiti wao anawaendesha kama roboti, hata hicho anachofanya Kigwa sasa asisifiwe sana, ni mwenyekiti wao ndie amembonyeza Kigwa kwenda kwa mwendo huu.
 
Upinzani wa CCM sio kawaida yao, ni kama upepo tu, wana tabia ya kumtazama kwanza mwenyekiti wao wajue anachotaka ndio nao wafanye, lakini kinyume na hapo hakuna upinzani ndani ya CCM, akili zao zimeshikiliwa na mwenyekiti wao, yeye ndie anaamua waseme au kufanya kitu gani, kwa ufupi mwenyekiti wao anawaendesha kama roboti.
Nadhani hata Chadema nako akili zao zimeshikwa na Chairman tu

ACT nako ni yaleyale akili zimeshikwa na Kiongozi Mkuu!

Does it make any difference?
 
Kwamba akimpinga Bashiru Hadharani kwenye Press Release,anakuwa ni mwana CCM Samia mzuri.

Ila akiihoji serikali ya CCM kuhusu Mabehewa kutokuwa mapya.

Hapo anaitwa Sukuma Gang!
Hapo anaitwa mtu wa Magufuli!

Mnasahau kwamba Magufuli huyo huyo alifariki akiwa ameishamtumbua huyo Kigwangalla?!
 
Back
Top Bottom