Hataka ni kuwaishiwa 40% zao ni kituko cha mwaka unawahisha mabehewa bila kuwa na reli yenyewe .Kila kinachoendelea hapa nchini ambacho Hayati JPM alikisimamia vyema sasa kina mauzauza na harufu za upigaji.
Kwa nini kununua mabehewa used? Kuna haraka gani ili hali mradi unasuasua kumalizika?
Mradi wa JNHP ndiyo una mauza uza kabisa na kuna dalili na ushahidi wa kimazingira kuwa kuna mikakati usimalizike kwa wakati ili mgao wa umeme uwanufaishe wahuni wa CCM.
Tanzania inanunua used? Why? Mitumba?
View attachment 2436849
Dr. Samia wala ahusiki hiyo ni kwa mujibi wa chawa wa mamaKiukweli hapa inabidi waache janja janja tumepigwa kitu kizito yaani mtumba hivi wametuonaje?
Mama mwenyewe ndo huyu asiyeaminika mbinguni wala ardhiNaunga hoja ya Dr. Kigwangala.
Kuna baadhi ya watendaji walio miniwa wanataka kutumia kivuli cha Mama kufanya mambo yao! either kwa lengo la kumchafua mama au kwa tamaa zao binafsi.
lazima tuwe makini kama kweli tunataka kumsaidia Rais basi tuwe wa kweli na waadilifu.
Je haya mabehewa used yana ubora ulio takiwa au ndio used choka mbaya?!
wasiwasi wa Kigaangwla ni kwamba huenda haya mabehewa used kuna upigaji, hivyo sio vibaya kuchunguza.
kweli kulikuwa na lengo la kununua mabehewa yaliyo tumika, lakini suala la msingi hapa ni je? haya used yana viwango vilivyo kusudiwa au ndio watu/watendaji wamefanya yao?!
ili kuondoa hisia ni vyema uchunguzi ufanyike ili kujua bei halali na ubora wa mabehewa, je unlingana na thamani ya fedha?
Hivi una habari kwamba hayo mabehewa ni tangu enzi za huyo Magu?!Kila kinachoendelea hapa nchini ambacho Hayati JPM alikisimamia vyema sasa kina mauzauza na harufu za upigaji.
Kwa nini kununua mabehewa used? Kuna haraka gani ili hali mradi unasuasua kumalizika?
Do nyie viumbe sijui mnashida gani yaani mnatumia jina la magu kama lilevi msipo litaji mnapata withdraw syndromeHivi una habari kwamba hayo mabehewa ni tangu enzi za huyo Magu?!
NONSENSEDo nyie viumbe sijui mnashida gani yaani mnatumia jina la magu kama lilevi msipo litaji mnapata withdraw syndrome