Ni fikra potofu. Hivi nchi zenye mikoa michache sana, ina ugumu gani kwenye administration?Kuna rahisisha administration, hata Geita ilifanya Mkoa kutoka Mwanza na Chato ilikuwa mbioni, ila wana Kagera walionekana wakali kama pilipili.
Umefananisha Japan, South Africa na Tanzania? Haya Mkuu asubuhi njema.Ni fikra potofu. Hivi nchi zenye mikoa michache sana, ina ugumu gani kwenye administration?
Japan ina mikoa 8, kwa hiyo ina shida kwenye administration?
South Africa ina mikoa 9, sisi tumeizidi nini kwa kuwa na mikoa mingi?
Kama kungekuwa na uwezekano wa binadamu kuongezewa akili, tungekazania viongozi wetu waongezewe akili, maana huko ndiko kuliko chanzo cha magumu yote.
Shida ya Kahama itakuwa pembezoni sana na sisi wananchi wa mkoa wa Shinyanga hatutaki tena wamege mkoa wetu!Nzega bado sana...bora hata kahama
I second you! Naona KAhama Yenu ikimegwa kabisa na mkoa wa Shinyanga ukibaki gofu π π πHahahaha.Wasomali ni wajanja mno. Nzega iwe mkoa jamani, watamega maeneo na mkoa wetu wa Shinyanga. Tumechoka Shinyanga na Mwanza yetu kumegwa.
Wataimega kahama lazima hiyo..na huko singita, mpaka maeneo ya Ndala huko lazma wapachukueShida ya Kahama itakuwa pembezoni sana na sisi wananchi wa mkoa wa Shinyanga hatutaki tena wamege mkoa wetu!
Ila siasa na Hawa wapuuzi ni kama mataahira,Sasa kama Hilo ni azimio la mkoa Toka Kitambo akilisemea mmja si inatosha Sasa kwani lazima Kila mtu aonekane amelisemea?Kigwangala anaomba Rais aipe Nzega hadhi ya mkoa baadaye anakuja Bashe anasema mama tunaomba unapoondoka 2030 basi wilaya ya Nzega iwe mkoa.
Anakuja Mh Rais anasema nimepokea maombi ya Mh. Bashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa.
AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KIGWANGALA HUNA CHAK0 2025.
HUYO NDIO BASHE KASUKU WA SIASA AMBAYE VIDEO YAKE ANALIA ANATAKIWA KUTEKWA BUNGENI HAIPO POPOTE PALE MITANDAONI KAMA UNAYO, POST HAPA USAIDIE TAIFA.
Ila siasa na Hawa wapuuzi ni kama mataahira,Sasa kama Hilo ni azimio la mkoa Toka Kitambo akilisemea mmja si inatosha Sasa kwani lazima Kila mtu aonekane amelisemea?Kigwangala anaomba Rais aipe Nzega hadhi ya mkoa baadaye anakuja Bashe anasema mama tunaomba unapoondoka 2030 basi wilaya ya Nzega iwe mkoa.
Anakuja Mh Rais anasema nimepokea maombi ya Mh. Bashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa.
AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KIGWANGALA HUNA CHAK0 2025.
HUYO NDIO BASHE KASUKU WA SIASA AMBAYE VIDEO YAKE ANALIA ANATAKIWA KUTEKWA BUNGENI HAIPO POPOTE PALE MITANDAONI KAMA UNAYO, POST HAPA USAIDIE TAIFA.
Wabunge wetu wajue wakiachua Kahama ikienda waondoke nayo! Sasa Shinyanga itabaki na nini?Wataimega kahama lazima hiyo..na huko singita, mpaka maeneo ya Ndala huko lazma wapachukue
Mbona wote wameomba kilekileKigwangala anaomba Rais aipe Nzega hadhi ya mkoa baadaye anakuja Bashe anasema mama tunaomba unapoondoka 2030 basi wilaya ya Nzega iwe mkoa.
Anakuja Mh Rais anasema nimepokea maombi ya Mh. Bashe kuwa kabla sijaondoka 2030 Nzega iwe mkoa.
AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KIGWANGALA HUNA CHAK0 2025.
HUYO NDIO BASHE KASUKU WA SIASA AMBAYE VIDEO YAKE ANALIA ANATAKIWA KUTEKWA BUNGENI HAIPO POPOTE PALE MITANDAONI KAMA UNAYO, POST HAPA USAIDIE TAIFA.
Umefananisha Japan, South Africa na Tanzania? Haya Mkuu asubuhi njema.
Tatizo ni mfumo wa utawala uliopo Tanzania.Ni fikra potofu. Hivi nchi zenye mikoa michache sana, ina ugumu gani kwenye administration?
Japan ina mikoa 8, kwa hiyo ina shida kwenye administration?
South Africa ina mikoa 9, sisi tumeizidi nini kwa kuwa na mikoa mingi?
Kama kungekuwa na uwezekano wa binadamu kuongezewa akili, tungekazania viongozi wetu waongezewe akili, maana huko ndiko kuliko chanzo cha magumu yote.
Ni ujinga ambao sijawahi kuuelewaKugawa mikoa kuna faida gani??
Shinyanga ndo mkoa wa kuonewa kila siku π π Viongozi mlowaweka ndo wanaowatia DoaWabunge wetu wajue wakiachua Kahama ikienda waondoke nayo! Sasa Shinyanga itabaki na nini?
Hahahaha Unapajua Maganzo kumbe. ENzi za Magufuli waziri wa mabarabara.Mie nilikaa Tinde....ndio nimewajengea ile lami Nzega...Tinde....Isaka......Tinde.....Maganzo.....2004.....2006......palikuwa patamu balaaa.
Hebu njoo PMπππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Endeleeni kuomba mikoa, mimi niliomba bandari 1 nikapewa zote.
Yaani Shinyanga sijui wanataka iwe wilaya ?Shinyanga ndo mkoa wa kuonewa kila siku π π Viongozi mlowaweka ndo wanaowatia Doa
Shinyanga ilivyokuwa zamani kabla ya mwaka 2013 na 14..
View attachment 2785076
Shinyanga ilivyogawanywa na kubaki kipunje baada ya Kuigawa wakatoa mikoa miwili SIMIYU NA GEITA..
View attachment 2785077
Sahizi naona na nzega nao wameanza kuitamani π π π
View attachment 2785092
Hicho mdo kitakachobaki π π π€£π€£
Kusogeza hudumaKugawa mikoa kuna faida gani??
Wanazidi kuifinya tu hahaha..Yaani Shinyanga sijui wanataka iwe wilaya ?