Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

nadhani umeona huyo mchezo wako uliyemuandika eti ameleta hasara
 
Mr adriz

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nilidhamiria kujipiga Ban kuwasha data katika simu ndani ya mwezi mzima ila kuna ishu kati imeharibu mpango wangu na kutakiwa nikamilishe nikiwa online ndio maana leo nimerudi rasmi.

Wakati nipo likizo nimejifungia jana wakati pasi ya kihasibu ikipigwa na Azizi Ki nikapata uchungu sana kea kudhani wahasibu hawataiona na kuiingiza katika uhasibu.
 

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unafiki kwenye moja na mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…