Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Makolo na bado hamjasema
Na mtasema
 
Uongozi na wachezaji wa Simba ndio wanajua miguu ya AZZ K inathamani gani wewe shabiki maandazi hujui lolote.
CEO wako akibahatika kusoma unachokiandika ata kuona waajabu sana.Ata kiungo wa Simba mwenye Spidi ya konokono ame mvulia kofia K AZZ.
Kwa kweli
Wenzao wanaojua Soka wanajua AZIZ ni nani
Hawa maandazi wapo kufanya accounts za uongo
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[mention]OKW BOBAN SUNZU [/mention]
[mention]Jackal [/mention]
[mention]zipompa [/mention]
[mention]Shadeeya [/mention]
[mention]adriz [/mention]
[mention]Shimba ya Buyenze [/mention]
 
View attachment 2791500
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[mention]OKW BOBAN SUNZU [/mention]
[mention]Jackal [/mention]
[mention]zipompa [/mention]
[mention]Shadeeya [/mention]
[mention]adriz [/mention]
[mention]Shimba ya Buyenze [/mention]
Hahahahahhahahahhahhh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ hii noma sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…