Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Amna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?

Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong

Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
Makolo na bado hamjasema
Na mtasema
 
Uongozi na wachezaji wa Simba ndio wanajua miguu ya AZZ K inathamani gani wewe shabiki maandazi hujui lolote.
CEO wako akibahatika kusoma unachokiandika ata kuona waajabu sana.Ata kiungo wa Simba mwenye Spidi ya konokono ame mvulia kofia K AZZ.
Kwa kweli
Wenzao wanaojua Soka wanajua AZIZ ni nani
Hawa maandazi wapo kufanya accounts za uongo
 
IMG_0233.jpg

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[mention]OKW BOBAN SUNZU [/mention]
[mention]Jackal [/mention]
[mention]zipompa [/mention]
[mention]Shadeeya [/mention]
[mention]adriz [/mention]
[mention]Shimba ya Buyenze [/mention]
 
Back
Top Bottom