Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Nabadooomtasemaaa
Haiwahusuuuuuu
 
TAARIFA KWA UMMA.

Wandewa waandamizi wa Uzi huu ,tumefanya juhudi za kila namna kumtafuta ndugu Mwasibu(OKW BOBAN SUNZU ) kwa kila namna na kumsihi aombe radhi Raia humu hadharani ili Jambo la Uzi huu uishe kama ule wa Takwimu Kibu D Vs Mayele.

Ila kwa masikitiko makubwa pamoja na jitihada zote za dhati kabisa za kumtafuta ndugu Mwasibu na kumpa sharti jepesi la kumaliza kesi hii ili iwe sababu ya kusafisha brand yake na andelee kuaminiwa katika kazi yake ya Uhasibu na makumpuni mbalimbali worldwide , cha ajabu kabisa ndugu Mwasibu kaonyesha jeuri ya kiwango cha juu kabisa .

Kutokana na hilo uongozi tumeona kuwa ndugu Mwasibu bado hajutii makosa yake na anaendelea na matendo ya utovu wa nidhamu ,hivyo basi hatuna njia nyingine zaidi ya kuendeleza spana mfululizo na akiendelea zaidi tutawasiliana na Chama cha wahasibu ilinkuangalia uwezekano wa kufutiwa vyeti vyake.

Imeandaliwa na mkuu wa Idara ya utunzaji risiti Jf
...................................................................................................................
 
Naomba jarada lake lifike mahakamani j3 asubuh
Uchunguzi ufanyike
Kwa uhasibu hu lazima amejikopesha huyooπŸ˜“
 
Wakuu naona kama Uzi heading imebadilishwa kidogo au ipo sawa ?
 
Naomba jarada lake lifike mahakamani j3 asubuh
Uchunguzi ufanyike
Kwa uhasibu hu lazima amejikopesha huyooπŸ˜“
Hahahaha πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
 
ulisoma wapi uhasibu mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…