Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hacheeebu Leo anamwaga dislike Kwa kila mtu.ππHacheeeebuuu
Nkajua ni mim tuππMwachibu tena kaibuka anatembeza dislikes humu kama kichaa ..
Kwani unadhani mzima? Jamaa ana file milembe.Mwachibu tena kaibuka anatembeza dislikes humu kama kichaa ..
Time always tellβ¦.Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
NabadooomtasemaaaUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Hapa Kitaalamu sijaelewa embu fafanua kidogo.Mwasibu sahz hadi madem wanajipigia tu[emoji28]
Naomba jarada lake lifike mahakamani j3 asubuhTAARIFA KWA UMMA.
Wandewa waandamizi wa Uzi huu ,tumefanya juhudi za kila namna kumtafuta ndugu Mwasibu(OKW BOBAN SUNZU ) kwa kila namna na kumsihi aombe radhi Raia humu hadharani ili Jambo la Uzi huu uishe kama ule wa Takwimu Kibu D Vs Mayele.
Ila kwa masikitiko makubwa pamoja na jitihada zote za dhati kabisa za kumtafuta ndugu Mwasibu na kumpa sharti jepesi la kumaliza kesi hii ili iwe sababu ya kusafisha brand yake na andelee kuaminiwa katika kazi yake ya Uhasibu na makumpuni mbalimbali worldwide , cha ajabu kabisa ndugu Mwasibu kaonyesha jeuri ya kiwango cha juu kabisa .
Kutokana na hilo uongozi tumeona kuwa ndugu Mwasibu bado hajutii makosa yake na anaendelea na matendo ya utovu wa nidhamu ,hivyo basi hatuna njia nyingine zaidi ya kuendeleza spana mfululizo na akiendelea zaidi tutawasiliana na Chama cha wahasibu ilinkuangalia uwezekano wa kufutiwa vyeti vyake.
Imeandaliwa na mkuu wa Idara ya utunzaji risiti Jf
...................................................................................................................
Hahahaha π€£π€£ππ€£Naomba jarada lake lifike mahakamani j3 asubuh
Uchunguzi ufanyike
Kwa uhasibu hu lazima amejikopesha huyooπ
ulisoma wapi uhasibu mkuu?Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
ulisoma wapi uhasibu mkuu?
Mwasibu wiki hizi amepata nguvu ya kutamba Jf mpaka amejisahau kwamba kuna updates za kihasibu hapa anatakiwa kukamilisha..Happy new year
Hawezi tokea hukuMwasibu wiki hizi amepata nguvu ya kutamba Jf mpaka amejisahau kwamba kuna updates za kihasibu hapa anatakiwa kukamilisha..