Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Nabadooomtasemaaa
Haiwahusuuuuuu
 
TAARIFA KWA UMMA.

Wandewa waandamizi wa Uzi huu ,tumefanya juhudi za kila namna kumtafuta ndugu Mwasibu(OKW BOBAN SUNZU ) kwa kila namna na kumsihi aombe radhi Raia humu hadharani ili Jambo la Uzi huu uishe kama ule wa Takwimu Kibu D Vs Mayele.

Ila kwa masikitiko makubwa pamoja na jitihada zote za dhati kabisa za kumtafuta ndugu Mwasibu na kumpa sharti jepesi la kumaliza kesi hii ili iwe sababu ya kusafisha brand yake na andelee kuaminiwa katika kazi yake ya Uhasibu na makumpuni mbalimbali worldwide , cha ajabu kabisa ndugu Mwasibu kaonyesha jeuri ya kiwango cha juu kabisa .

Kutokana na hilo uongozi tumeona kuwa ndugu Mwasibu bado hajutii makosa yake na anaendelea na matendo ya utovu wa nidhamu ,hivyo basi hatuna njia nyingine zaidi ya kuendeleza spana mfululizo na akiendelea zaidi tutawasiliana na Chama cha wahasibu ilinkuangalia uwezekano wa kufutiwa vyeti vyake.

Imeandaliwa na mkuu wa Idara ya utunzaji risiti Jf
...................................................................................................................
 
TAARIFA KWA UMMA.

Wandewa waandamizi wa Uzi huu ,tumefanya juhudi za kila namna kumtafuta ndugu Mwasibu(OKW BOBAN SUNZU ) kwa kila namna na kumsihi aombe radhi Raia humu hadharani ili Jambo la Uzi huu uishe kama ule wa Takwimu Kibu D Vs Mayele.

Ila kwa masikitiko makubwa pamoja na jitihada zote za dhati kabisa za kumtafuta ndugu Mwasibu na kumpa sharti jepesi la kumaliza kesi hii ili iwe sababu ya kusafisha brand yake na andelee kuaminiwa katika kazi yake ya Uhasibu na makumpuni mbalimbali worldwide , cha ajabu kabisa ndugu Mwasibu kaonyesha jeuri ya kiwango cha juu kabisa .

Kutokana na hilo uongozi tumeona kuwa ndugu Mwasibu bado hajutii makosa yake na anaendelea na matendo ya utovu wa nidhamu ,hivyo basi hatuna njia nyingine zaidi ya kuendeleza spana mfululizo na akiendelea zaidi tutawasiliana na Chama cha wahasibu ilinkuangalia uwezekano wa kufutiwa vyeti vyake.

Imeandaliwa na mkuu wa Idara ya utunzaji risiti Jf
...................................................................................................................
Naomba jarada lake lifike mahakamani j3 asubuh
Uchunguzi ufanyike
Kwa uhasibu hu lazima amejikopesha huyoo😓
 
Wakuu naona kama Uzi heading imebadilishwa kidogo au ipo sawa ?
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
ulisoma wapi uhasibu mkuu?
 
Hawezi tokea huku
Mhasibu Leo kwenye moja na mbili , kiukweli jamaa yuko vizuri kufanya uchambuzi wa haraka cheki hapo akimfanyia uchambuzi chezaji lao jipya..
Cc : Shadeeya
IMG_20240113_223531.jpg
 
Back
Top Bottom