Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Wee mapaziaa umevurugwaaa au? Wana mjadili aziz ki kwa kukosa penalt?
Maradona mwamba kuliko mchezaji yoyote hata mesi au pele hawana ubavu alikosa penati .
Roberto baggio alikosa ,wajerumani walikosa , zidane alishakosa , bado kukosa kwa aziz ki hakupunguzi ubora wake, jana alifunga goli la ushindi bahasha na ukubwa wa motsepe vikageuza matokeo!
 
Bas bahasha hizo walipokea Aziz ki, Job na bacca.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We huna unachojua mapazia
[emoji16][emoji16][emoji16] ntakufumua mu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tenaa ukuje nikupozee machunguu mapaziaa.
Mbona utazoea tyuuh, chezea robo ya CAFCL weyee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…