Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Aziz ki ndo yule alikua amepaka rangi kichwani kwafanana na tenesi? Alikua anazurura tu uwanjani
 
Dunia nzima leo inamjadili azizi ki

Afu kuna lijinga limeshiba kunde linamkana aziz ki[emoji16][emoji16][emoji16]
Wee mapaziaa umevurugwaaa au? Wana mjadili aziz ki kwa kukosa penalt?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga inaenda kumpoteza aziz ki , rulani mokwena ameshamakiza hesabu , ki uwezekano mkubwa ataenda mamelodi.
 

Attachments

  • 0B9F918F-AD43-4C68-AB8C-638D8BDE513B.jpeg
    0B9F918F-AD43-4C68-AB8C-638D8BDE513B.jpeg
    1.3 MB · Views: 10
Back
Top Bottom