Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu

Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
Nje ya mpira kuna marafiki huenda hao ndo marafiki sawa we dada mbumbumbu.
 
Huu
Huu ni uhasibu wa dunia gani?sehemu ya pili umebugi mkuu huwezi kudebit tena registration fee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…