Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😅😂Mwasibu kubabakoo
AahaaaMwasibu makalio yako
Mwasibu kasahau kuweka password 😂😂Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa tunasubiria tena uje na jipya.
Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
Nje ya mpira kuna marafiki huenda hao ndo marafiki sawa we dada mbumbumbu.Hivi kwanini Azizi ndo mchezaji hapo Utopoloni anaongozana sana na Injinia kwny matukio na Ali kamwe?.yani matukio matukio ya Hafla nyingi utamkuta yy na Ali kamwe.. why not wachezaji wengine?
Jana alikuwepo kwny tukip la cheka tuu
Ajiny......eeeaaahhh.Mwasibu kasahau kuweka password 😂😂
Mpako asemo ukweloHatuchezi mbali mwasibu, mda wowote baadae likitokea lolote tunakufata.
Huu ni uhasibu wa dunia gani?sehemu ya pili umebugi mkuu huwezi kudebit tena registration feeUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account