Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Mwaseeeeeeeeebuuuuuuu
Wa mchongo


 
Mwaseeeeeeeeebuuuuuuu
Wa mchongo
Kambole anaweza kuwa bora mara 2 ya Azizi Ki
Bila kujali ushabiki, Yanga walipigwa.
Labda mpuuzi mama yako. Huna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu
 
Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
Kila nikikumbuka hii comment kwenye huu uzi, Namuona huyu mbwa aliyeandika ni kichaa. Na nilimvua nyota hapa.
Mimi ni Simba ila aliponda sana. Aziz kuachana na kuchukua kiatu. Dogo yuko fit and smart. Kuna muda nilimuona kama Mtanzania anayepambania timu ya nyumbani. Najisahau kabisa kwamba aziz ni mtu wa nje ya Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ