Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Huna tofauti nahuyu mhasibu uchwara kwamba zengeli kufunga hajui
Kwa maoni yangu namuona ni hatari zaidi ktk kutengeneza magoli lakini sinktk kufunga magoli. That is me. Anagusa mipira ya hatari zaidi, anatengeneza nafasi nyingi zaidi za magoli, anakuwa ktk nafasi za kugusa mipira mingi zaidi ya hatari. Lakini si kufunga. Nimesema akikutana na kocha wa strikers akafundishwa ku strike atafunga zaidi kwa kuwa anaweza kujiposition. Inawezekana kocha kamuongezea kitu ktk inshu ya striking kwa kuwa ana basics zote za mchezaji mzuri hivyo hicho kinakuwa ni kitu kidogo sana cha kuongezea.

Mwangalie Mudathiri, ni kiungo hatari naweza kusema anawazidi wengi ingawa haimbwi sana. Unaweza ukajiuliza Azam Wana akili au matope kumuacha halafu wanabaki na bin Zaid sijui. Lakini pamoja na sifa lukuki za Mudathiri kufunga hajui. Ana basics zote za kuwa kiungo wa juu. Angalia hata faulo tu hajui au haaminiki kupiga. Hapo sasa ndo kazi ya kocha wa ufungaji au kocha wa ma straikers anaingia kazini. Nafkiri timu zetu zijifunze kitu kwa wenzetu. Ben Mcathy anasajiliwa United kwa ajili ya kuwanoa wafungaji tuu. Mudathiri, Musonda, Konkon na Moloko bado kuna kazi kwa makocha wao wa ufungaji wanatakiwa kufanya.


Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Mhasibu wa kibanda cha mbege.
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
bado hujasema
yaani mpaka useme.
 
Back
Top Bottom