Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutamfuatilia tujue. 😂😂😂Ameyatimba vibaya mno 😂😂
Sijui uo uhasibu wake alisomea veta
HakikaTutamfuatilia tujue. 😂😂😂
Vipi na huu....😁😁😁Takwimu za kibu na mayele hahaha
Ule uzi anauona Kama baba mkwe
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakomiii wala hajifunzi kutokan na makosayaan nacheka sana huyu jamaa hii nyuzi ya pili anazingua kuna ile ya mfananisho wa mayele na kibu
Inaoneka alionao si uhasibu, ni UWASIBUAmeyatimba vibaya mno 😂😂
Sijui uo uhasibu wake alisomea veta
Wakati Aziz ki ni mtoto wa town [emoji23]....malezi ya Kimpira kayapata spain club ya Rayo Vallecano.Alitaka kumchukulia poa Aziz Ki. [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe mwenyewe n mtoto wa town
Ooh mara hautofunga tutakuona [emoji28]
Kajifanya boya kutupiga sound
Neeenga, Pararapa pa rira papariraa papaaa
Perepepee rire pepe rire pepee
Ameyatimba [emoji23][emoji23] aaa
Mpotezee mpaka haya mambo yapite.Mwamba kajidhalilisha sana Bantu LadyTumetia timu OKW BOBAN SUNZU tukaribishe wageni, wako wa siku zote 😂😂😂😂😂😂😂😂
Wakuu mjue Kuna tofauti kubwa Kati ya MHASIBU na MWASIBU
Sasa nyie mnachangia Uzi wa MWASIBU
OKWI Ni MWASIBU siyo MHASIBU
Watu wabaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kumbe mwenyewe n mtoto wa town
Ooh mara hautofunga tutakuona [emoji28]
Kajifanya boya kutupiga sound
Neeenga, Pararapa pa rira papariraa papaaa
Perepepee rire pepe rire pepee
Ameyatimba [emoji23][emoji23] aaa
Jana nilikuwa naona wanasema uzi wa muhasibu hata sikuelewa wana maana gani, leo ndo nimeelewa muhasibu ni nani
Ndio maana tunamTag ili ashtuke huko aliko OKW BOBAN SUNZUUnavyoongea utadhani mtu akianzisha uzi basi analazimika 24/7 kuwepo kusoma comments.Pengine hana hata habari kama mpo hapa na yeye anaendelea na hamsini zake.
Umeudhalilisha sana uhasibuUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Tumekubaliana humu ndani kuwa OKW BOBAN SUNZU ni Mwasibu si ndio?