Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Ila mwasi dah
 

Attachments

  • IMG_0147.jpeg
    IMG_0147.jpeg
    296.9 KB · Views: 7
Huyo ni zero kabisa. Unajua mchezaji hata akiwa Messi au Ronaldo lazima azoeane na wenzie. Mwaka wa kwanza huwezi judge, lazima apate muda.

Mpira wetu ni tofauti na wa wengine. Pili kuna tatizo la ushabiki nyanya kama wa OKW BOBAN SUNZU au huyu nyang’au GENTAMYCINE nao ni shida. Mtu anakaza shingo mpaka unajiuliza huyu alishafika hata darasa la nne!
You nailed it kama huyo genta nashani ni psychopath
 
Watu wengi huandika makala za kutabiri makosa ya kusajili na hukosea either kwa mchezaji kufanya vizuri au vibaya tofauti na alivyotabiri. Sioni sababu ya kumwandama OKW baada ya kukosea utabiri wake.
 
Back
Top Bottom