Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi inawezekana vip kumuongele mtu hana hata mwezi?Huu uzi utakutesa sana
Hutakiwi kumchukia, just enjoy the moment. Mwasibu ni mtu poa sana.Ndiyo maana huyu jamaa huwa namchukia maana anajifanya anajua sana, kumbe ni zoba tu! Kukurupuka kwako OKW BOBAN SUNZU ni majanga
You nailed it kama huyo genta nashani ni psychopathHuyo ni zero kabisa. Unajua mchezaji hata akiwa Messi au Ronaldo lazima azoeane na wenzie. Mwaka wa kwanza huwezi judge, lazima apate muda.
Mpira wetu ni tofauti na wa wengine. Pili kuna tatizo la ushabiki nyanya kama wa OKW BOBAN SUNZU au huyu nyang’au GENTAMYCINE nao ni shida. Mtu anakaza shingo mpaka unajiuliza huyu alishafika hata darasa la nne!
Ukijua Kukaza na Kuwatoa Watu Vinyesi vyao vizuri ni lazima tu utakuwa unatajwatajwa nao kila mara kama ambavyo GENTAMYCINE napenda Kutajwatajwa na niwatoao Vinyesi vyao.
AahaaaaWatu wengi huandika makala za kutabiri makosa ya kusajili na hukosea either kwa mchezaji kufanya vizuri au vibaya tofauti na alivyotabiri. Sioni sababu ya kumwandama OKW baada ya kukosea utabiri wake.