Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Mwa5ibu apelekwe kwa p diddy siku tatu tuu akirudi ujinga utaisha
Mawazo machafu mno yamenata kwenye ubongo. Pdidy si ana kashfa za kuingilia watu kwa kutumia vilainishi? Roho yako mbaya sana mkuu, yaani unataka mwanasimba mwenzetu, mtanzania mwenzako aingiliwe na mmarekani sababu unampenda Azizi?
 
Mawazo machafu mno yamenata kwenye ubongo. Pdidy si ana kashfa za kuingilia watu kwa kutumia vilainishi? Roho yako mbaya sana mkuu, yaani unataka mwanasimba mwenzetu, mtanzania mwenzako aingiliwe na mmarekani sababu unampenda Azizi?
Ukimbana sana atakuambia utani wa jadi. Ushabiki wa hovyo.
 
Anafunga goli moja anakosa manne😀😆😄😃

Kuna shabiki wa uto ameuliza zaidi ya mashuti Aziz Ki anamzidi nini kingine Andambwile (kummiliki Mobetto?)hadi alipwe mshahara mkubwa kiasi kile?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Anafunga goli moja anakosa manne😀😆😄😃

Kuna shabiki wa uto ameuliza zaidi ya mashuti Aziz Ki anamzidi nini kingine Andambilwe (kummiliki Mobetto?)hadi alipwe mshahara mkubwa kiasi kile?
 
Ye anacho jali mwisho wa mwezi 30M imeingia kwenye account
Hana habari😀😀😆😃

Jinsi siku hizi anavyobwatukiana na watu, ichunguzwe inawezekana nungunungu keshampeleka kwenye chimbo la cha Arachuga.
 
Back
Top Bottom